Karibuni halotel hapa nadunda na 5gb free per month
Simnataka mabadilikoo. Ndo yanaanza ivyo na wenye hiyoo mitandao ndo haohao tunawashabikia
Airtel afadhari ila SMART ndo bei chee kabisa bundle ya mwezi huwezi kuimaliza kwa sh 4500/ elfu nne nia tano tu.Tigo shida ..voda majanga.
Sijui nikimbilie wapi?
tatizo hao smart mtandao wao unaishia mwenge, ukiwa mbezi hadi tgeta mtandao unazinguaAirtel afadhari ila SMART ndo bei chee kabisa bundle ya mwezi huwezi kuimaliza kwa sh 4500/ elfu nne nia tano tu.
Kampuni ya simu vodacom kuanzia kesho tarehe 8 itabadili tena gharama ya vifurushi vya internet vya wiki 2000=30 MB 2800=60 MB na kifurushi cha siku 1000 itanakia kuwa Mb 8 kazi kwenu mnaokesha mitandaoni VODACOM WAMEJIPANGA. Chanzo voda taarifa
Tigo shida ..voda majanga.
Sijui nikimbilie wapi?