Mb8 zilianzia Voda,nikanunua line ya airtel !!
Siku ya pili nao wakaleta.
Hiyo mb 1 inakuja hadi huko
jamaa anarudisha hela aliyotumia kununulia chama
Sasa ndo nini hii wakuu.
Hebu cheki
Tuhamie Wapi??
jamaa anarudisha hela aliyotumia kununulia chama