esitena tetena
JF-Expert Member
- Aug 21, 2015
- 1,747
- 1,082
Jamani TCRA walisema watenganishe Muda wa Maongezi, SMS na Data....
Afu pia msikimbilie Halotel mkidhani watakuwa wazuri kuliko hawa, Voda ana roots ambazo makampuni mengi yameshindwa
mbona sijasikia tcra wakiitisha maoni ya wadau kuhusu gharama
za watumiaji wa mawasiliano kama ewura wanavyofanya kwenye umeme na maji? tcra wana-regulate nini wakati wanawaachia makampuni wanajipangia tu bei kila moja kivyake?