Vodacom wapandisha bei ya vifurushi

Vodacom wapandisha bei ya vifurushi

uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kwakweli tutajuta sana tukiendelea hivi, mabadiliko muhimu kukomesha njaa za warohoo.
 
Wezi tu voda,mie siku moja nilikopa m pawa,nilipolipa deni wakawa wananitumia sms kuwa sijalipa mkopo,nimeachana nao
 
Tcra wamefosi makampuni yatenganishe bando za maongezi na internet.
 
Sema tatizo Lao wanaambizana utakuta mitandao yote ni hivohivo. Aisee mbona nitauza smartphone.

Tanzania kumilki smartphone itaonekana ni anasa wakati kwa wenzetu ni kama maharagwe ya mbeya.
 
kuanzia kesho

500 dk 14 sms 50 mb 1
650 dk 20 sms 100 mb 3
1000 dk 50 sms 200 mb 8
zingine tembelea tovuti yao.

hapo kwenye mb 1 na 3 si wangeacha tu make hata nane zenyewe zilikua chache sana.

Niko na airtel sijuti nikiwa na vocha za UNI buku jero tu gb1 na dk za kutosha kwa wiki moja...voda nimeacha kama kopo tu!!
 
Waziri wa mawasiliano kimnyaa kudadeki sijui tuhame nchi???
 
Hii hapa structure nzima kuanzia kesho
 

Attachments

  • 1444232269022.jpg
    1444232269022.jpg
    44.9 KB · Views: 662
Hahahahaaaa ila hawa wajinga wana tabia ya kuigana.
Wiki haiishi airtel na tiGo watafanya hivyohivyo.
Lakini wewe Deo Corleone si hutaki mabadiliko?
Hiyo ndio dawa yenu,na bado.

Mabadilikogani? Wewe hujui kuwa Rosti tamu Azizi na mshirikawake Edwadi ni washikadau wakubwa wa VodaCom? Kweli BaVicha ni Balaza la Vichaa
 
Last edited by a moderator:
Halotel kila kitu kimekamilika sasa ni matayarisho ya uzinduzi. Utakuwa ndio mwisho wa unyonyaji
 
Ccm wanafanya nini juu ya hili magufuli atoe tamko nini atafanya
 
Back
Top Bottom