Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Watanisamehe kwa kweli
Airtel afadhari ila SMART ndo bei chee kabisa bundle ya mwezi huwezi kuimaliza kwa sh 4500/ elfu nne nia tano tu.
Ila tambua iyo mitandao. Kuna mgombea urais wa chama furani anausika na anahisa za kutoshaa. Ivyo kazi ni kwako
Office zake wap kwa Dar.?
Hamia Airtel kwa silu 30(mwezi) unalipa sh. 9999 unapata dakika 175 kuongea mitandao yote na mb 300 za data Ndiyo maana hata katika vikao vya bunge Vodacom na tigo walishutumiwa kuwa wezi lakini airtel hakushutumiwa.
hamia airtel kwa silu 30(mwezi) unalipa sh. 9999 unapata dakika 175 kuongea mitandao yote na mb 300 za data ndiyo maana hata katika vikao vya bunge vodacom na tigo walishutumiwa kuwa wezi lakini airtel hakushutumiwa.
Mb8 zilianzia Voda,nikanunua line ya airtel !!
Siku ya pili nao wakaleta.
Hiyo mb 1 inakuja hadi huko
Mb 300? Mambo ni yaleyale tuuuuHamia Airtel kwa silu 30(mwezi) unalipa sh. 9999 unapata dakika 175 kuongea mitandao yote na mb 300 za data Ndiyo maana hata katika vikao vya bunge Vodacom na tigo walishutumiwa kuwa wezi lakini airtel hakushutumiwa.
Mb 300? Mambo ni yaleyale tuuuu