Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 5,688
- 8,927
Thread was deleted
Utailipa tu, labda uache kutumia hiyo line.Na kama mpo humu vodacom taarifa iwafikie vizuri
Yani naweka vocha ya buku jero kujiunga kifurushi cha buku jero halaf mnaniambia sina salio la kutosha??
Tunasaidiana kupata hela au?
Sasa nilichofanyanikakopa nipige tafu 250/= nikaongezea kununua kifurushi chao cha "kijambazi"
Halaf mtaona kama hio tafu yenu nitawalipa
Andika TAPELI Kwenda no. *102#
HapanaPole, inawezekana kuna huduma umejiunga ndo maana ukiongeza salio wanakata kiasi kidogo. jaribu kuwapigia simu wakuambie shida ni nini
Kote kote hapafai 😓Hivi bado mngali Voda tuuu, nyie watu!??? Hamchoki!???
Mi mpesa wananidai 20000 mwaka wa tatu sitaki hata kuweka salioUtailipa tu, labda uache kutumia hiyo line.
Maana hata ukijiunga kupitia Mpesa wanakata.
Utawajua tu waliopigwa na vitu vizito..😂Utailipa tu, labda uache kutumia hiyo line.
Maana hata ukijiunga kupitia Mpesa wanakata.
😁Andika bango kubwa kabisa likisomeka:
UTAPELI UTAPELI UTAPELI UTAPELI
UTAPELI UTAPELI UTAPELI UTAPELI
vodacom wamenipiga salio langu
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂
itakuwa washasahau 🤣Mi mpesa wananidai 20000 mwaka wa tatu sitaki hata kuweka salio
So...Utailipa tu, labda uache kutumia hiyo line.
Maana hata ukijiunga kupitia Mpesa wanakata.
Voda sio matapeli Bossi, it does depend na the way unavotumia laini yako. Nakumbuka zamani nlikua na Imani kama yako juu ya huu mtandao but now mambo ni bullbullUjinga wa TCRA ni pale wanapowatumia hawa hawa voda kufikisha ujumbe kwa raia kua waepuke utapeli at the same time tunakuja kutapeliwa na hao hao wamiliki wa mitandao
Mradi wa chama cha majambaziNa kama mpo humu vodacom taarifa iwafikie vizuri
Yani naweka vocha ya buku jero kujiunga kifurushi cha buku jero halaf mnaniambia sina salio la kutosha??
Tunasaidiana kupata hela au?
Sasa nilichofanyanikakopa nipige tafu 250/= nikaongezea kununua kifurushi chao cha "kijambazi"
Halaf mtaona kama hio tafu yenu nitawalipa
Voda ni matapeli kwasababu hizi zifuatazoVoda sio matapeli Bossi, it does depend na the way unavotumia laini yako. Nakumbuka zamani nlikua na Imani kama yako juu ya huu mtandao but now mambo ni bullbull
Kwa utafiti wangu usio rasmi nmegundua wengi wa watu wanaolalamikia hii mitandao ni either wanakopa na hawalipi deni maana voda ndo mtandao unaoongoza kwa kukopesha wateja wake..
Imagine mtu kakopa nipige tafu, kasongesha muamala, kakopa mpawa na hela zenyewe kwake ni za kusikilizia au kudownload unategemea nn.
Tukiweka kando mambo ya technical defects kwenye masuala mazima ya online transactions ambazo pia ni Minor sana ambapo mteja ndo anakuwa na makosa mostly kwa kukosa umakini, Vodacom unabakia kuwa mtandao Bora sana Hapa nchini afu Tigo wanafuata maana mitandao mingine mi siijui