Dafo
Member
- Aug 1, 2012
- 75
- 69
DHivi kumbe inabidi mobile data iwe ya Voda eh??
DHivi kumbe inabidi mobile data iwe ya Voda eh??
Hivi Voda mna matatizo gani kuchukua pesa mko fasta ktk akaunti yangu lakini Huduma sifuri, Jana nimenunua umeme wa luku kupitia M-PESA lkn hadi sasa naandika SMS hii sipata token na pesa mmechukua huu ni WIZI iweje sms za matangazo yenu ziwe zinafika fasta mara app sijui jiunge na miitoNdugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Ukitaka wakujibu hawa. Leta mada kuwa wanahusika na makinikia labda.Hivi Hua mnajibu Maswali kweli???
Haya mimi swali langu ni hivi ubao wa DSE Tanzania hampo mpaka sasa na tarehe 12 June 2017 ndio ilikua ck ya nyie kuwepo at first time baada ya kuuza share zenu, tupeni feedback kwanini hampo hadi leo???
Umeona eeeh fasta watakuja hapa ila mambo ya msingi hawajibu. Wazushie jambo uoneUkitaka wakujibu hawa. Leta mada kuwa wanahusika na makinikia labda.
wanasumbua ila Sio kama tigoNajua hakosekani mtu wa hii kampuni humu. Kama hamjui basi nawaambia hiviii,"tangu siku ya jumatatu na jumanne inapofika saa sita usiku network inatoweka kabisa! Simu inageuka toy!"
Kwa siku ya jumatatu tangu saa sita network ilivyotoweka sikumbuki ilirejea muda gani, maana hadi napitiwa na usingizi saa tisa, simu haikuwa na network. Nilivyoamka asubuhi ndio nikaikuta!
Jumanne hivyo hivyo ilivyofika mida ya saa sita mkapita nayo tena, ila ikajitahidi kurudi saa nane bando langu likikaribia kuisha!
Leo hii nimeandika hii taarifa kwa kuweka na Kigogo sababu ya hiyo network kusumbua, ila leo angalau ilikuwa inakata "viuno" yaani inatoweka na kurudi.
Pamoja na kero zote hizo, hata kuomba radhi au kutoa taarifa hakuna! Aiseee!! Mngefidia hata huo muda mliopita na bando zetu basi!
Au mnajifanya hamjui kuwa Mkulu kameza funguo za kibubu?! Morogoro.
shitaki kama una evidenceKuna - sijui niite ni "ujanja" - nadhani kwa kweli. Simu yangu ina laini 2 tu. Voda na Tigo. Niliweka internet ya wote wawili. Lakini hivi sasa upande wa Tigo siwezi kuaccess internet. Nahisi kuna kimchezo ka ku-hack simu za watu hapa. Kama ni kweli, mnaonaje nikiwashitaki kwa mamlaka ya mawasiliano?
Kwa nini mnatuuzia tablet kwa bei kubwa halafu hamna spea zake?Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania