Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Voda kuna uhuni mkubwa sana. Jana nimeweka kifurushi cha wiki. Nimepiga mara moja tu na dakika arobaini na nne zimebaki. Leo naambiwa kifurushi kimeisha. Ujinga mtupu nyie.
 
Hivi nyie voda nkisema ni vibaka mtasema nimewatukana? Kifurushi ninunue mchana cha masaa 24 asubuh mnambie kimekwisha muda wake hata kutumia sijatumia si wizi huu? alaf ukinunua muda wa maongezi leo kupitia mpesa jibu linakuja kesho asubuhi,kama huduma imewashinda acheni msitusumbue eboh!mitandao mingine si kwamba hatuioni! Mnaboa!
Nami kimenipata hicho hicho. Wezi sana hawa. Sitanunua tena. Bora niwatumie airtel
 
Voda kunna mchezo wenu mnachezesha kwa sms naona huu ni wizi mtupu na mnatulaghai tu kwani inaonekana mnatutumia sisi wateja kupiga pesa kwa kisingizipo cha mchezo! Shezi zenu!
 
Huwa inanikera sana pale nikinunua bundle ya kupiga mitandao yoyote at da same time nikiwa na bundle ya voda to voda. bundle la mitandao yote huisha mapema hta kama nimepiga voda to voda pekee.
 
Huwa inanikera sana pale nikinunua bundle ya kupiga mitandao yoyote at da same time nikiwa na bundle ya voda to voda. bundle la mitandao yote huisha mapema hta kama nimepiga voda to voda pekee.
Nunua line ya Halotel uone tofauti. Acha kuteseka suluhisho lipo.
 
hallo vodacom naombeni mniambie nifanye kipi ili line yangu upande wa m-pesa muifungue.


sim card hii mmeifunga kwa kosa ambalo ki uhalisia sio kosa langu ni kosa lenu cha ajabu mnanipa adhabu mie ambae sina kosa je hii ni halali...?

tangu tarehe 20-6-2016 nilifanya transaction kutoka m-pesa kwenda benki ya DTB mnavyodai kupitia huduma kwa wateja namba 100 ni kuwa sim card yangu imefungwa kwakuwa nilituma pesa benki na hizo pesa zikarudi kwenye line yangu ya mpesa japo sio kweli kwamba kuna pesa ilienda benki ki makosa


hata kama ni kweli hivi mimi kweli kwanini mnifungie line wakati mitambo yenu ndio imejikoroga...?

je...? mnajua kutokana na kufungiwa line yangu ni kiasi gani nilifedheheka ugenini arusha kwa kukosa hela ya kula na nauli ya kurudi kwetu kahama..?

mmenipa masaa 72 ya kusubiri zaidi ya mala kumi lakini hakuna jipya sasa nauliza NIENDE WAPI NIKAWASHITAKI MNIFUNGULIE LAINI YANGU? nimeenda zaidi ya mara tano kwa meneje wa vodacom kahama lakini nae ni kama yupo busy au hajali usumbufu ninao upata kwa kulipia garama za boda boda kwenda na kurudi


NAOMBENI MFUNGUE LAINI YANGU UPESI LA SIVYO TUTAPAZA SAUTI KWA MH RAIS AWATUMBUE TU MAANA HAKUNA NAMNA.
 
hallo vodacom naombeni mniambie nifanye kipi ili line yangu upande wa m-pesa muifungue.


sim card hii mmeifunga kwa kosa ambalo ki uhalisia sio kosa langu ni kosa lenu cha ajabu mnanipa adhabu mie ambae sina kosa je hii ni halali...?

tangu tarehe 20-6-2016 nilifanya transaction kutoka m-pesa kwenda benki ya DTB mnavyodai kupitia huduma kwa wateja namba 100 ni kuwa sim card yangu imefungwa kwakuwa nilituma pesa benki na hizo pesa zikarudi kwenye line yangu ya mpesa japo sio kweli kwamba kuna pesa ilienda benki ki makosa


hata kama ni kweli hivi mimi kweli kwanini mnifungie line wakati mitambo yenu ndio imejikoroga...?

je...? mnajua kutokana na kufungiwa line yangu ni kiasi gani nilifedheheka ugenini arusha kwa kukosa hela ya kula na nauli ya kurudi kwetu kahama..?

mmenipa masaa 72 ya kusubiri zaidi ya mala kumi lakini hakuna jipya sasa nauliza NIENDE WAPI NIKAWASHITAKI MNIFUNGULIE LAINI YANGU? nimeenda zaidi ya mara tano kwa meneje wa vodacom kahama lakini nae ni kama yupo busy au hajali usumbufu ninao upata kwa kulipia garama za boda boda kwenda na kurudi


NAOMBENI MFUNGUE LAINI YANGU UPESI LA SIVYO TUTAPAZA SAUTI KWA MH RAIS AWATUMBUE TU MAANA HAKUNA NAMNA.
Kwa maelezo yako tu inatosha kuamini kuwa wewe ni mhalifu kupitia mtandao. Umetuma pesa kwenda bank kupitia simu yako kisha pesa zimerudi kwako bado unalalamika. Hata hiyo adhabu ya kufungiwa simcard uliyopewa na vodacom ni ndogo sana ulitakiwa uripotiwe polisi. Kama unataka suluhu nenda ofisini kwao wewe ni mteja wao mkapate suluhu. Kulalamika ktm mitandao siyo jawabu.
 
Kwa maelezo yako tu inatosha kuamini kuwa wewe ni mhalifu kupitia mtandao. Umetuma pesa kwenda bank kupitia simu yako kisha pesa zimerudi kwako bado unalalamika. Hata hiyo adhabu ya kufungiwa simcard uliyopewa na vodacom ni ndogo sana ulitakiwa uripotiwe polisi. Kama unataka suluhu nenda ofisini kwao wewe ni mteja wao mkapate suluhu. Kulalamika ktm mitandao siyo jawabu.
mkuu labda tu kwa mfano uhalifu wangu upo wapi,,?
laini imesajiliwa kwa kitamburisho halali na huko benki mimi ndio niliomba hiyo huduma ya kuwa nahamisha pesa kutoka mpesa kwenda benki nako huko nilitoa kitamburisho cha kunitambulisha mimi ni nani na nipo wapi. unaposema kuwa niende ofisini kwao kupata suruhu ninapatwa na mashaka kama umeisoma post yangu mwanzo mpaka mwisho vinginevyo umekurupuka kujibu
 
mkuu labda tu kwa mfano uhalifu wangu upo wapi,,?
laini imesajiliwa kwa kitamburisho halali na huko benki mimi ndio niliomba hiyo huduma ya kuwa nahamisha pesa kutoka mpesa kwenda benki nako huko nilitoa kitamburisho cha kunitambulisha mimi ni nani na nipo wapi. unaposema kuwa niende ofisini kwao kupata suruhu ninapatwa na mashaka kama umeisoma post yangu mwanzo mpaka mwisho vinginevyo umekurupuka kujibu
Jifunze kuwa mstaarabu, maelezo yako ndiyo yanayokushitaki. Vodacom ni kampuni kubwa ya mawasiliano nchini. Haiwezi kukufungia huduma bila kuwepo na tatizo kati yako na bank pia vodacom wenyewe. Awali umesema mitambo yao ndiyo ikijikoroga. Kwa kauli hiyo inaonyesha kujikoroga kwa mitambo ya vodacom wewe ulichukulia kuwa ni fulsa kwako ya kunufaika. Suluhisho la hili tatizo ni wewe na si vinginevyo. Na ukumbuke unavyoandika humu unajitengenezea ushahidi bila wewe kujua.
 
Jifunze kuwa mstaarabu, maelezo yako ndiyo yanayokushitaki. Vodacom ni kampuni kubwa ya mawasiliano nchini. Haiwezi kukufungia huduma bila kuwepo na tatizo kati yako na bank pia vodacom wenyewe. Awali umesema mitambo yao ndiyo ikijikoroga. Kwa kauli hiyo inaonyesha kujikoroga kwa mitambo ya vodacom wewe ulichukulia kuwa ni fulsa kwako ya kunufaika. Suluhisho la hili tatizo ni wewe na si vinginevyo. Na ukumbuke unavyoandika humu unajitengenezea ushahidi bila wewe kujua.
bado unanikwepa nimesema hivi huduma kwa wateja na kwa meneja nimeenda je.. kama pote huko sisaidiwi niende wapi ...? mie nilijua hii thread itakuwa msaada kumbe mie tayari ni mhalifu wa mitandaoni ..?
ama kweli vigezo na mashart kuzingatiwa
 
bado unanikwepa nimesema hivi huduma kwa wateja na kwa meneja nimeenda je.. kama pote huko sisaidiwi niende wapi ...? mie nilijua hii thread itakuwa msaada kumbe mie tayari ni mhalifu wa mitandaoni ..?
ama kweli vigezo na mashart kuzingatiwa
Rudi kwenye maelezo yako ya mwanzo ktk sentensi ya mitambo kujikoroga halafu utagundua kitu.
 
Vodacom mna huduma mbaya sana.. Siku moja nlienda kwenye ofis zenu pale zackem ata sipataman tena, dada anakujbu huku anakulakula vtu na wala hakutizami na bado anakujibu kama hatak na kwa ukali, ukijumlisha na bei zenu kwenye bando aaaah kwa kweli ilibid lain yenu niipack nikaweka mbadala halotel maana mnakatisha tamaa sana
 
Rudi kwenye maelezo yako ya mwanzo ktk sentensi ya mitambo kujikoroga halafu utagundua kitu.
hivi kwa mfano kitendo cha kununua data za siku nzima,kisha likaja swala na kutokuwepo kwa network ya data hapo huoni kuwa mitambo yao imehusika au binaadamu ndio huwa wanahusika ..? kwenye data na hili la m-pesa unataka kuniambia kumbe wafanyakazi ndio huwa wanasababisha patokee hayo yanayotokea na sio mitambo..? mie ninaanz kuamini kuwa kumbe vodacom mnatutegesheaga kesi bila kujijua ili mwisho wa siku nionekane mteja ndio mharifu na sio wao.. naanza kuamini kwa kuwa hata hao mashart ambayo mmeyaweka huwa hatuyajui zaidi ya kusikia mkisema vigezo na mashart kuzingatiwa ama kweli HAPA KASI TU

simu yangu,laini yangu m-pesa yangu lakini sina uhuru navyo


MKUU ASANTE NIMEJIFUNZA KITU HAPA KUWA SINA PA KUPATIA MSAADA
 
hivi kwa mfano kitendo cha kununua data za siku nzima,kisha likaja swala na kutokuwepo kwa network ya data hapo huoni kuwa mitambo yao imehusika au binaadamu ndio huwa wanahusika ..? kwenye data na hili la m-pesa unataka kuniambia kumbe wafanyakazi ndio huwa wanasababisha patokee hayo yanayotokea na sio mitambo..? mie ninaanz kuamini kuwa kumbe vodacom mnatutegesheaga kesi bila kujijua ili mwisho wa siku nionekane mteja ndio mharifu na sio wao.. naanza kuamini kwa kuwa hata hao mashart ambayo mmeyaweka huwa hatuyajui zaidi ya kusikia mkisema vigezo na mashart kuzingatiwa ama kweli HAPA KASI TU

simu yangu,laini yangu m-pesa yangu lakini sina uhuru navyo


MKUU ASANTE NIMEJIFUNZA KITU HAPA KUWA SINA PA KUPATIA MSAADA
Sasa kumbe majibu unayo mbona unazunguka. Kawaambie tatizo lilikuwa network
 
Vodacom mna huduma mbaya sana.. Siku moja nlienda kwenye ofis zenu pale zackem ata sipataman tena, dada anakujbu huku anakulakula vtu na wala hakutizami na bado anakujibu kama hatak na kwa ukali, ukijumlisha na bei zenu kwenye bando aaaah kwa kweli ilibid lain yenu niipack nikaweka mbadala halotel maana mnakatisha tamaa sana
Sasa si bora hivyo, mm nataka kurenew line Vodashop Magomeni anasema eti nipeleke Passport size , nilicheka sana tena sana, yni tupo kwenye kizazi cha paper less na yy anadai passport, tena passport size!! ,Daaah
 
Hivi taratibu zenu za kuweka 3G zipo je?maana huku nilipo kwa sasa nimekuta kuna maeneo yana 3G na si zaidi ya muachano wa km 15 toka hapa nilipo,eneo nilipo ni mawengi kuna E na mlangali pana 3G ktk wilaya ya ludewa.yaani mnaenda kwenye 4G kumbe kuna maeneo bado yapo kwenye analogi ktk masuala ya intanet.badilike bhana khaaaaa
 
Mimi naitwa YASINI MIKAILI KIRIA ni freelance wa vodacom. Ninalo tatizo la usajili wa lain. Nisajili laini kwa mteja tangu jana saa 10 hadi muda huu hasijakamilika.
 
43 Reactions
Reply
Back
Top Bottom