je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,102
- 4,082
Aisee sijawai kuona kampuni ya usafiri wa anga ya hovyo kupata kutokea duniani kama hii.
Hii kampuni kwanza customer care yao ni mbovu bora hata shabiby hawa jamaa unaweza kupiga simu wiki nzima usipate kuongea nao na kupata msaada wa safari kwanza advertise namba ya kulipia ticket ni Lipa namba ya voda.
Jamaa wapo nyuma ya kila kitu na sijui wanafanya nini hapa nchini ni bora wakafunga tu na airtanzania ku take over hiyo mikoa wanayo enda. Jamaa kila sehemu wapo kimya hata katika mitandao ya kijamii ni hawajibu sms hata mwezi unapita .Sasa sijui wana idadi ndogo ya wafanyakazi au ni vip
Jamaa wanatakiwa kubadilika na kuenda na wakati la sivyo watamfatuta mchawi kila siku.
Ila jamaa ni zaidi ya hovyo huduma zao
Hii kampuni kwanza customer care yao ni mbovu bora hata shabiby hawa jamaa unaweza kupiga simu wiki nzima usipate kuongea nao na kupata msaada wa safari kwanza advertise namba ya kulipia ticket ni Lipa namba ya voda.
Jamaa wapo nyuma ya kila kitu na sijui wanafanya nini hapa nchini ni bora wakafunga tu na airtanzania ku take over hiyo mikoa wanayo enda. Jamaa kila sehemu wapo kimya hata katika mitandao ya kijamii ni hawajibu sms hata mwezi unapita .Sasa sijui wana idadi ndogo ya wafanyakazi au ni vip
Jamaa wanatakiwa kubadilika na kuenda na wakati la sivyo watamfatuta mchawi kila siku.
Ila jamaa ni zaidi ya hovyo huduma zao