Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,761
- Thread starter
- #21
Soma hii...ya spensa_eMi natumia vodacom. 25,000 kwa mwezi napata unlimited kwa siku 30
Sijawahi kupata tatizo kama lako. Ninatumia kwenye PC na simu.
Na hii ndiyo shida yetu, kama yako haisumbui wenda una matumizi ambayo hafafiki 1gb+!!!Ni usanii, na lugha ya ulaghahi kwa mteja, wanakwambia unlimited lakini sio kweli wanakiwango Chao kikifika wanakupunguzia speed, mm nawekaga cha mwezi unlimited cha 25,000 ila nikifikisha 5gb speed inapungua sana
Last edited by a moderator: