Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,761
Kuna kazi ya ku download nnayo lakini baada ya kujiunga bandle ya unlimited, naona imeanza vizuri mara ghafla hata ku load page imekua shida iko very slow na bahati mbaya zaidi hata kazi haifika nusu!
Sasa mimi nashangaa nini maana ya unlimited intenet kwanini hawa Vodacom Tanzania wasiseme ukweli mpaka tudanganyane mchana kweupe?
Je, ili niachane na huu wizi ni mtandao gani wanatoa huduma ya unlimited intenet nzuri?
Sasa mimi nashangaa nini maana ya unlimited intenet kwanini hawa Vodacom Tanzania wasiseme ukweli mpaka tudanganyane mchana kweupe?
Je, ili niachane na huu wizi ni mtandao gani wanatoa huduma ya unlimited intenet nzuri?