Vodacom, mnafahamu maana ya UNLIMITED Intenet?

Vodacom, mnafahamu maana ya UNLIMITED Intenet?

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
21,786
Reaction score
35,761
Kuna kazi ya ku download nnayo lakini baada ya kujiunga bandle ya unlimited, naona imeanza vizuri mara ghafla hata ku load page imekua shida iko very slow na bahati mbaya zaidi hata kazi haifika nusu!

Sasa mimi nashangaa nini maana ya unlimited intenet kwanini hawa Vodacom Tanzania wasiseme ukweli mpaka tudanganyane mchana kweupe?

Je, ili niachane na huu wizi ni mtandao gani wanatoa huduma ya unlimited intenet nzuri?
 
Kuna kazi ya ku download nnayo lakini baada ya kujiunga bandle ya unlimited, naona imeanza vizuri mara ghafla hata ku load page imekua shida iko very slow!!! na bahati mbaya zaidi hata kazi haifika nusu!!! sasa mimi nashangaa nini maana ya unlimited intenet kwanini hawa Vodacom Tanzania wasiseme ukweli mpaka tudanganyane mchana kweupe???
Je ili niachane na huu wizi ni mtandao gani wanatoa huduma ya unlimited intenet nzuri??

Njunwa
 
Last edited by a moderator:
Wapo humu watueleze. Unlimited Internet ninavyoelewa mimi ni kwamba unapata internet bila limit kwa ule muda uliojiunga, km ni siku,wiki au mwezi.
Sasa utakuta mfano umejiunga cha cku..umetumia labda masaa 12 unapata msg km hii hapa.

"You have reached your volume limit , Continue surfing at limited speeds till expiry date. To buy again, click http://vda.cm/JazaIntaneti"

Hiyo Continue surfing at limited speed ni uongo pia maana internet haifunguki tena baada ya hapo.
 
Labda ungetueleza wewe maana ya unlimited Internet

Jambo la maana mnaleta u*****fu tu. maana yake Bila Kikomo. Mimi huwa pia najiuliza juu ya Huduma za internet zitolewazo na Vodacom. kiukweli ni wizi. kuna kifurushi cha 1000 tsh cha siku bila kikomo ukiweza kufungua page ya JF na ku surf kwa muda mfupi tu utagundua Kuwa tayari kifurushi kimeisha baada ya ku browse pole pole Sana na mwisho utaletewa sms Kuwa kifurushi chako kimeisha Endelea ku browse na shilingi 20 kwa dk. TCRA chunguzeni huu wizi
 
Kama kuna mtu anafahamu bandle za mtandao mwingine tafadhali sana...maana huu mtandao nataka tupa line kabisa!!
 
ⓜⓣⓐⓝⓓⓐⓞ ⓦⓐ ⓣⓘⓖⓞ ⓐⓝⓖⓐⓛⓐⓤ ⓜⓚⓤⓤ ⓙⓐⓡⓘⓑⓤ ⓥⓞⓓⓐⓒⓞⓜ ⓦⓐⓛⓘⓢⓗⓐⓝⓘⓕⓘⓡⓘⓢⓘ
 
ⓜⓣⓐⓝⓓⓐⓞ ⓦⓐ ⓣⓘⓖⓞ ⓐⓝⓖⓐⓛⓐⓤ ⓜⓚⓤⓤ ⓙⓐⓡⓘⓑⓤ ⓥⓞⓓⓐⓒⓞⓜ ⓦⓐⓛⓘⓢⓗⓐⓝⓘⓕⓘⓡⓘⓢⓘ

Mkuu, unaogopa sheria ya mtandao nini? Hata hivyo ulivyoandika watakukamata tu kama ukivunja sheria.
 
Mi natumia vodacom. 25,000 kwa mwezi napata unlimited kwa siku 30
Sijawahi kupata tatizo kama lako. Ninatumia kwenye PC na simu.
 
Ni usanii, na lugha ya ulaghahi kwa mteja, wanakwambia unlimited lakini sio kweli wanakiwango Chao kikifika wanakupunguzia speed, mm nawekaga cha mwezi unlimited cha 25,000 ila nikifikisha 5gb speed inapungua sana
 
Vodacom + Airtel Unlimited Internet Ni Ugonjwa!!!. Tigo Sasa Ndio Janga La Taifa! Sitaki Hata Kuwazungumzia, Wanakwambia Unlimited Intnet, Kumbe Ni Gb Moja, Wengine Huwa Tunadownload Movies, Gb 1 Ndio Mdudu Gani? Haitosh Wizi Wa Mchana Kweupe!

Tembelea Jukwaa La Tech&gadget And Science Forum Humu Jukwaani, Huko Utakutana Na Gwiji La Mambo Ya Free Internet Linaitwa Njunwa Wa Mavoco!
 
Mi natumia vodacom. 25,000 kwa mwezi napata unlimited kwa siku 30
Sijawahi kupata tatizo kama lako. Ninatumia kwenye PC na simu.

Hiyo ya 25000 kweli huwa inakaa mwezi. Lkn ya siku na ya wiki haipo hivyo. Labda wanalazimisha watu wajiunge na hicho cha 25000. Kwa watu wengi ni pesa ndefu
 
Mitandao yote ipo hivyo. Wakisema unlimited hawamaanishi ni unlimited kweli.
 
Nilishawahi kuwauliza maana ya unlimited mwaka 2012. In short hawana majibu. Tafuta mtandao mwingine
 
Unlimited package means < or =700 mb daily. Experience is the best teacher&#128551;
 
Ukishusha file kwa torrent unaweza kutumia hadi 5GB kwa hyo ya buku,
 
Mi natumia vodacom. 25,000 kwa mwezi napata unlimited kwa siku 30
Sijawahi kupata tatizo kama lako. Ninatumia kwenye PC na simu.

Kwakp wanakupa only 5GB. Hauna matatizo kwa sababu matumizi yako kwawezi ni chini ya GB 5. Si tunapata matatizo with the same package
 
Back
Top Bottom