Vodacom Acheni Uhuni

Vodacom Acheni Uhuni

Mkuu hili swala linapashwa kufikishwa TCRA fasta, naona kuna jamaa wame-manipulate system - juzi niliweke vocha ya elfu kumi na nikaweka code ya ku-activate vifurushi vyao, baada ya kukubaliwa nikampigia simu ndugu yangu mazungumzo yetu hayakuzidi dakika mbali - nilishangaa nilipo ambiwa salio langu alitoshi kupiga simu nyingine!!! Mwanzo nilifikili kuna kitu nimekosea, jana nikaweka vocha ya elfu tano mambo yakajirudia yale yale! Which means hii ni delibarate means za kuwahibia WATEJA, wizi uliyo kubuhu! Airtel hawana tatizo kabisa natumia services zao bila tatizo lolote. VODACOM wanapashwa kushtakiwa kwa kufanya wizi wa mchana. Binafsi nimehamua kutupilia mbali SIM card zao, hawafahi kabisa.

pole sana mkuu Bukyanagandi
 
Last edited by a moderator:
Mimi mkuu nimeacha hata kutumia modem yangiu ya Voda, mara ya kwanza ilikuwa kama miezi miwili iliyopita, niliweka shilingi elfu tatu ili nifungue JF, ikakubali na kunitumia msg.

Vile nafungua tu JF tu ikagoma, nikasema ngoja niangalie salio. Ndipo nilitumiwa msg kuwa sina salio kwenye huduma ya prepaid. Nikaweka tena vocha ya elfu mbili ikaliwa vile vile.

Nikajaribu tena siku ya pili yake mtindo ukawa ni ule ule, nilifikiri ni makosa yangu kumbe ndiyo ujambazi wao huo!!!!!
 
Voda mmekua matapeli, haiwezekani leo naweka vocha dheni inaingia na [COLOR=#f0000]kutowema[/COLOR] ghafla hapo hapo naambiwa salio [COLOR=#f0000]langi[/COLOR] halitoshi, kama ndio tunaanza kulipa code kwa staili hiyo mtujize wateja wenu

'hivi mnakimbilia wapi hebu sawazisha maneno yako tukurudishie salio lako.............kama hurekebishi haturudishi hata kidogo'
 
kuna uhuni umeanza voda,me pia nimeweka salio ya buk 2,nikajiunga na cheka nao ya siku,nimepiga simu kwa watu wawili maongezi yasiyozidi dakika kumi kwa jumla mara salio langu halitoshi.
 
Mkuu hili swala linapashwa kufikishwa TCRA fasta, naona kuna jamaa wame-manipulate system - juzi niliweke vocha ya elfu kumi na nikaweka code ya ku-activate vifurushi vyao, baada ya kukubaliwa nikampigia simu ndugu yangu mazungumzo yetu hayakuzidi dakika mbali - nilishangaa nilipo ambiwa salio langu alitoshi kupiga simu nyingine!!! Mwanzo nilifikili kuna kitu nimekosea, jana nikaweka vocha ya elfu tano mambo yakajirudia yale yale! Which means hii ni delibarate means za kuwahibia WATEJA, wizi uliyo kubuhu! Airtel hawana tatizo kabisa natumia services zao bila tatizo lolote. VODACOM wanapashwa kushtakiwa kwa kufanya wizi wa mchana. Binafsi nimehamua kutupilia mbali SIM card zao, hawafahi kabisa.
Mkuu hii sio promo kweli!!!!
Ko unatushauri nasi tutupe line za voda ili tubaki na airtel si ndio!
Acha hiyo mambo chalii yangu. Mi ninavyoona mitandao yote ina
namna ya kuwaibia rai
 
Hayo mimi yamenikuta zaidi ya mara tatu. Imefika wakati sasa wateja tuamue tujitoe vodacom tujiunge kwenye kampuni nyingine ambazo hazijaanza huu wizi kama tigo au airtel. Tatizo letu watz ni maamuzi ndio sababu sometimes watoa huduma wanatuonea. Tungeamua kwa pamoja kuchukua hatua wasingeendelea na upuuzi wao huu.
 
Voda ni kampuni niliyokuwa naiamini sana , lakini sasa wameanza mambo ya wizi wazi wazi, hasa unapojiunga cheka ya muda mfupi , unajiunga 400 dk 10, unapigia mtu mmoja hata dakika 3 hazijaisha , sms inaingia ndugu mteja muda wako wa cheka umeisha , jamani huu si wezi ?

We ngoja tu! Kama hatujaanza kuwavua magamba mmoja mmoja.
 
yeah! hapo umenena kaka, me nimetupia 500 langu. ikaingia ile naunga cheka ikakubali. ile napiga naambiwa sina salio lakutosha kuniwezesha kupiga cm. ile nawapigia voda wanasema kweli, ila nipige baada ya masaa matatu waangalie salio langu limeenda wapi. nimepiga tena wananipa sound

Hata mimi yamenikuta kama hayo. Kwasasa hiv nimeamia airtel!
 
Mkuu hii sio promo kweli!!!! Ko unatushauri nasi tutupe line za voda ili tubaki na airtel si ndio! Acha hiyo mambo chalii yangu. Mi ninavyoona mitandao yote ina namna ya kuwaibia rai
Far from it, hakuna mambo ya promo wala nini wezi lazima wahanikwe adhalani - hatuwezi kufumbia macho kampuni zinazo wa rip off wananchi, sijapata tatizo kutoka mtandao wa AirTel na Tingo sasa kuna ubaya gani kusifia kampuni zenye UTU, inawezakana mitandao yote ina ujanja fulani wa kujinufahisha lakini huu wa VODA nikisema ni ujambazi ntakuwa sikosei. Mtu unawezaje kutumia elfu kumi within two minutes wakati unahongea within TANZANIA - hii inahingia akili kweli?
 
Voda ni kampuni niliyokuwa naiamini sana , lakini sasa wameanza mambo ya wizi wazi wazi, hasa unapojiunga cheka ya muda mfupi , unajiunga 400 dk 10, unapigia mtu mmoja hata dakika 3 hazijaisha , sms inaingia ndugu mteja muda wako wa cheka umeisha , jamani huu si wezi ?

Jaribu kupunguza kupenda vya dezo kwa kuachana na cheka na badala yake utumie vocha kawaida uone nayo kama itakuwa na tatizo.
 
Back
Top Bottom