Lemme say this
JF-Expert Member
- Nov 4, 2023
- 397
- 1,064
Yani mtu unastress zako za hapa na pale unahangaika kupambana na maisha ya kila siku ili mradi mkono uende kinywani
Una biashara yako umekwama sehemu flani, ukaamua kuchukua buku ukanunue bando uingie JF uombe ushauri na kupata uzoefu tena buku uliotafuta kwa jasho lako aisee yaani you got heated by the sun all day long just to earn that thousand shilling
Unaingia dukani kununua vocha yako unaingiza namba chap then unaclick *149*01# kujiunga bando la buku mara unashtuka kenge flani anaefanya kazi kampuni ya voda anakwambia salio lako halitoshi dadeki
Na ukicheki salio unakuta 8 hundred wakati few minutes ago ulikuwa one thousand kabisa hapo means 2 hundred wamebeba
Sasa hiyo 800 unanunua bando gani? Na ukitaka kuongeza vocha tena ili kiasi kitimie let's say 500. Hawa jamaa wanapita na 200 nyingine bila ubishi ata ukibaki na hiyo 800 utaishia kununua bando la jero tu ubaki na 300 na hiyo 300 usipotumia mpaka kesho yake watapita nayo tu
Ukiimpigia customer care walahi kama we mchawi dakika moja si nyingi ushamroga tayari haki ya mama
Just imagine vijaña wa hovyo a.k.a walaumu CCM a.k.a "wife kaninyima papuchi" takriban millioni 5 wanakatwa 200 means voda wanapata billioni 1 yà dhuluma aisee
Hakuna mitandao ya hovyo kuwahi kutokea ulimwenguni kama ya hapa TZ
Tigo? Noo!!..… Airtel? a little but nooo!!..... Halotel? yereuwiiii..... Vodacom? Hell nooo!!
Bora ata Airtel kule angalau kuna nafuu ila sio voda aisee voda ni hatari kwa afya ya binadamu na stress za hapa na pale, kama unamatatizo ya presha nakushauri kaa mbali na voda mana uta-dead mapema
Juzi tu hapo mzee na siasa zake katoka kuvurugwa na CHADEMA akaniita
"We kariz! ebu nenda hapo kwa dogo fasta ukaninunulie voda ya buku"
Akanipa five thausand na mie nilikuwa na shida ya vocha ila mzee akanikatalia plus maneno ya hapa na pale si unajua siasa bhana
Nikaona isiwe shida nikamletea vocha yake nikakaa zangu nacheki muvi mara nasikiia paaah!!! Samsung ya mwezi jana hiyoo imeenda asikwambie mtu mzee aliongea kichina dadek, God bless CHADEMA!!
Sema nyie voda tunaishi nanyi kibishi tu mana hakuna namna ila daah Mungu anawaoña tu
Una biashara yako umekwama sehemu flani, ukaamua kuchukua buku ukanunue bando uingie JF uombe ushauri na kupata uzoefu tena buku uliotafuta kwa jasho lako aisee yaani you got heated by the sun all day long just to earn that thousand shilling
Unaingia dukani kununua vocha yako unaingiza namba chap then unaclick *149*01# kujiunga bando la buku mara unashtuka kenge flani anaefanya kazi kampuni ya voda anakwambia salio lako halitoshi dadeki
Na ukicheki salio unakuta 8 hundred wakati few minutes ago ulikuwa one thousand kabisa hapo means 2 hundred wamebeba
Sasa hiyo 800 unanunua bando gani? Na ukitaka kuongeza vocha tena ili kiasi kitimie let's say 500. Hawa jamaa wanapita na 200 nyingine bila ubishi ata ukibaki na hiyo 800 utaishia kununua bando la jero tu ubaki na 300 na hiyo 300 usipotumia mpaka kesho yake watapita nayo tu
Ukiimpigia customer care walahi kama we mchawi dakika moja si nyingi ushamroga tayari haki ya mama
Just imagine vijaña wa hovyo a.k.a walaumu CCM a.k.a "wife kaninyima papuchi" takriban millioni 5 wanakatwa 200 means voda wanapata billioni 1 yà dhuluma aisee
Hakuna mitandao ya hovyo kuwahi kutokea ulimwenguni kama ya hapa TZ
Tigo? Noo!!..… Airtel? a little but nooo!!..... Halotel? yereuwiiii..... Vodacom? Hell nooo!!
Bora ata Airtel kule angalau kuna nafuu ila sio voda aisee voda ni hatari kwa afya ya binadamu na stress za hapa na pale, kama unamatatizo ya presha nakushauri kaa mbali na voda mana uta-dead mapema
Juzi tu hapo mzee na siasa zake katoka kuvurugwa na CHADEMA akaniita
"We kariz! ebu nenda hapo kwa dogo fasta ukaninunulie voda ya buku"
Akanipa five thausand na mie nilikuwa na shida ya vocha ila mzee akanikatalia plus maneno ya hapa na pale si unajua siasa bhana
Nikaona isiwe shida nikamletea vocha yake nikakaa zangu nacheki muvi mara nasikiia paaah!!! Samsung ya mwezi jana hiyoo imeenda asikwambie mtu mzee aliongea kichina dadek, God bless CHADEMA!!
Sema nyie voda tunaishi nanyi kibishi tu mana hakuna namna ila daah Mungu anawaoña tu