VODACOM wamesema, dakika zilizobaki zinapaswa kutumika usiku kuanzia 5.59 mpaka 11.59 Alfajiri

jonas amos

JF-Expert Member
Jul 4, 2016
3,615
4,389
Habari, ya kutwa mwanzo wa juma kabisa siku ya hangover kazini za weekend nzima

Mimi kwa majina ndo haya haya mnayoyaona

Nimekutana na changamoto ya wizi wa dakika kutoka mtandao wa vodacom

Nilijiunga kifurushi cha wiki cheka ya tsh 30,00 ambapo hupata dakika zenye nchanganuo wa matumiz

Katika hari isiyo ya kawaida na ikiwa leo ni mara ya pili kutokea har hii dakika ukiangalia salio unaona zipo ila ukipiga unambiwa huna salio la kutosha

Ndugu jonas:
Salio muda wa maongezi: akaunti kuu tsh 0.26.

Kifurushi:sms 10 mb 542

Dk 89 sek 11 voda sms 10 mpaka 2024-02-14 12:04:00.

Mb 542 mpaka 2024-02-24 21:14:09.

Dakika ni hizo hapo ila napiga nambiwa salio halitoshi

Nimejaribu kuwapugia huduma kwa wateja

Majibu aliyotoa nahis na kuamini ni wizi kabisa

Vodacom

Eti dakika zilizobaki zinapaswa kutumika usiku kuanzia 5.59 mpaka 11.59 alfajir

Wameleta mambo ya zaman enzi hizo usiku bure kina tigo

Yaani wanajua kabisa dakika hizo kwa usiku mtu sio rahis kutumia wanatumia nafasi hii kuibia

Selikal ni kweli mna mambo mengi ila kupitia wizara au trca naomba mfanyie kazi kutuepusha na huu wizi

Hari ya pesa saiv yafaa sana kuheshimu pesa

Kutuibia ni kutuona watanzania ni vilaza

Tcra

@wizara ya mawasiliano

Vodacom

Tunaomba hii tatzio3 lifanyiwe utatuzi wa haraka

Naomba kuwasilisha
 
voda wezi sana
dakika sio bundle la internet wizi wizi tu
mambonya dakika za usiku hapana
tunazifanyia nini


miaka hii hata wanafunzi usiku wanalala hawana mambo kukesha kama cnn

voda wabadilike
 
Ukifuata maelekezo utaelewa... maelezo ya hicho kifurushi ulichonunua yanasemaje?
Huwa unapewa dk za kutumia muda wote na dk za ziada kana bonus za kutumia muda huo saa sita usiku mpaka asubuhi...
Sasa wewe unaonekana umeshamaliza dk zako za kawaida umebakisha hizo za usiku. Hakuna wizi hapo chief.
 
Hii pia majuzi imemtokea jamaa yangu wa kijiweni. Yeye amezoea kujiunga kifurushi hicho kwa 30k kila mwezi ambapo hupata Gb 10 na muda wa maongezi.
Cha kushangaza, alipojiunga na kupiga simu akaambiwa hana salio. Baada ya kujiridhisha akakutana na hali hiyo, kwamba muda wa maongezi aliojiunga nao unafaa kutumika kati ya saa 5 uck hadi 11 alfajiri.
vodacom hii sio sawa. Ingefaa mkatoa taarifa kwa wateja wenu kuhusu mabadiliko hayo.
 
Habari, ya kutwa mwanzo wa juma kabisa siku ya hangover kazini za weekend nzima

Mimi kwa majina ndo haya haya mnayoyaona

Nimekutana na changamoto ya wizi wa dakika kutoka mtandao wa vodacom

Nilijiunga kifurushi cha wiki cheka ya tsh 30,00 ambapo hupata dakika zenye nchanganuo wa matumiz

Katika hari isiyo ya kawaida na ikiwa leo ni mara ya pili kutokea har hii dakika ukiangalia salio unaona zipo ila ukipiga unambiwa huna salio la kutosha

Ndugu jonas:
Salio muda wa maongezi: akaunti kuu tsh 0.26.

Kifurushi:sms 10 mb 542

Dk 89 sek 11 voda sms 10 mpaka 2024-02-14 12:04:00.

Mb 542 mpaka 2024-02-24 21:14:09.

Dakika ni hizo hapo ila napiga nambiwa salio halitoshi

Nimejaribu kuwapugia huduma kwa wateja

Majibu aliyotoa nahis na kuamini ni wizi kabisa

Vodacom

Eti dakika zilizobaki zinapaswa kutumika usiku kuanzia 5.59 mpaka 11.59 alfajir

Wameleta mambo ya zaman enzi hizo usiku bure kina tigo

Yaani wanajua kabisa dakika hizo kwa usiku mtu sio rahis kutumia wanatumia nafasi hii kuibia

Selikal ni kweli mna mambo mengi ila kupitia wizara au trca naomba mfanyie kazi kutuepusha na huu wizi

Hari ya pesa saiv yafaa sana kuheshimu pesa

Kutuibia ni kutuona watanzania ni vilaza

Tcra

@wizara ya mawasiliano

Vodacom

Tunaomba hii tatzio3 lifanyiwe utatuzi wa haraka

Naomba kuwasilisha
Mitandao ya simu imekuwa ya kitapeli siku hizi.
Vifurushi vyao vipo juu ila bado wanaiba tu sijui wanataka nini.
Weka vocha ya 500 usiunge kifurushi chochote kisha itoe laini, kaa masaa 24 utakuta imebaki 400 ukiuliza 100 ipo wapi? watakuambia umejiunga na kifurushi cha hadithi
😀😀😀😀😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom