At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Si kuandamana tena baada ya maridhiano mkuu kupuuza.Msimamo huo haukuanza leo. Ni msimamo wa chama ... kumbukeni zile sherehe za siku ya uhuru zilofanyika Mwanza na kuhudhuriwa na uongozi wa CHADEMA. Msimamo wa ulikua ni huo huo wa MARIDHIANO NA UMOJA wa kitaifa. Hili sio jipya