Shaka alisemaje?Jana nimekiangalia kile kipindi,yule mzee mchambuzi wa siasa kutoka Uganda nilimpenda bure.
Alikuwa anaongea bila kupepesa macho kwamba CCM wameshindwa kwa zaidi ya miaka 50 kutuletea maendeleo na kutimiza ahadi/ilani zao.
Ila Shaka naona alikuwa analeta ukakasi kidogo,ila yule mzee Mungu ambariki.
Vijana cyo wapiga kura nchi hii. Ni wanawake na waliopo vijijini. Mheni rasmi ni nani hadi atusemee watanzania mil 22? Amefanya research au utashi wa moyo wake? Mtanyooka tu safari
indeed na ni kama mm hapa. Kura yangu kwa Lowassa
Shaka alisemaje?
UKAWA: Alafu jana 'mmesikia' mnayotaka kusikia, mmesahau STAR TV mnaipiga vijembe kila siku?
Shaka alisemaje?
UKAWA: Alafu jana 'mmesikia' mnayotaka kusikia, mmesahau STAR TV mnaipiga vijembe kila siku?
Vijana cyo wapiga kura nchi hii. Ni wanawake na waliopo vijijini. Mheni rasmi ni nani hadi atusemee watanzania mil 22? Amefanya research au utashi wa moyo wake? Mtanyooka tu safari
Lowassa can win election, katika kipindi cha Straight Africa mgeni kwenye kipindi amesema kuwa Edward Lowassa ana uwezekano mkubwa wa kushinda kwa sababu ana wafuasi wengi ambao ni vijana na ndio wapiga kura.
Kwa hiyo kasema huyo ndo unaona kasema kweli?
Kwani kuangalia VOA lazima utune STARTV?
Lowassa can win election, katika kipindi cha Straight Africa mgeni kwenye kipindi amesema kuwa Edward Lowassa ana uwezekano mkubwa wa kushinda kwa sababu ana wafuasi wengi ambao ni vijana na ndio wapiga kura.
Vijana cyo wapiga kura nchi hii. Ni wanawake na waliopo vijijini. Mheni rasmi ni nani hadi atusemee watanzania mil 22? Amefanya research au utashi wa moyo wake? Mtanyooka tu safari
Hiyo research ya 90% umeitoa wapi?Sio lazima, ila usijitoe ufahamu, asilimia 90% ya watz na wachangiaji humu wanaodai waliangalia voa waliangalia kupitia star tv, na kama wewe upo tz nina uhakika nawe pia uliangalia kupitia star tv.
nimeangalia comment ya kwanza mpaka ishirini zote zinafanana ndio mana wanawaita nyumbu haiwezekani mawazo ya watu wote kua yanafanana lazima kuwe na utofauti kidogo.
Kwani kuangalia VOA lazima utune STARTV?
Ukweli ni kwamba prof mwenyews hata hajui local politics za Tz. Na yule wa ivory coast anajaribu kufanya comparison ya contemporary african political parties vs ccm. Ni tofauti ndio maana ccm imedumu kwa niaka mingi. Lowasa hata bbc kashindwa kuekeza ataitoa vip hiyo free esucation mapovu tu....magufuli mbele kwa mbele.
Shaka alisemaje?
UKAWA: Alafu jana 'mmesikia' mnayotaka kusikia, mmesahau STAR TV mnaipiga vijembe kila siku?
Twaweza ndio walisema kweliKwa hiyo kasema huyo ndo unaona kasema kweli?