VOA, Kipindi cha Straight Talk Africa, Lowassa will win

VOA, Kipindi cha Straight Talk Africa, Lowassa will win

'Ni kweli mkuu,profesa kutoka Maryland University (US) ndio kayasema hayo.
Kazungumzia pia,bao la mkono na kauli za vitisho za JK.
 
Jitekenyeni na kufurahi...mgeni mwenyewe ni nani?
 
mjitekenye tuuu mtu mwenyewe kapigwa maswali BBC ya saa 3 usiku alikuwa anabwabwaja tuuu Ndio ashinde na sisi watanzania inabidi tukapimwe akili ikiyokwa
 
Labda awe rais wa taarabu. CCM itashinda ikibidi kuiba kura tutaiba na hakuna mtakalo weza kufanya. Hii nchi ni yetu sisi, nyie mnaishi tu humu.

We mwehu kweli. Ulifikiri utaendelea kunyonya mpaka uzeeni? Imekula kwako aise. Tunajua wote wanao shabikia ccm wana mrija huko ndo maana kuwaza kuachia hilo ziwa, munakua na kiwewe kabisa.
Ila itawalazimu tuu na kuibia hamutaweza.
 
Pia tukumbuke kuna suala la kushinda uchaguzi, na suala la kutangazwa mshindi

Hilo bwana Gamba la chuma ni wachache sana watakaokuelewa. Nami nilishawaandikia siku nyingi kuwa kuna kushinda uchaguzi na kushinda uchaguzi na kukabidhiwa serikali. Hili la pili kwa ccm kulitekeleza ni ngumu sana.
 
Hawa jamaa wako real sana siyo kama wale jamaa wa twawezeshwa
 
Labda awe rais wa taarabu. CCM itashinda ikibidi kuiba kura tutaiba na hakuna mtakalo weza kufanya. Hii nchi ni yetu sisi, nyie mnaishi tu humu.

M@vi yako Huna adabu ole wenu muibe kura zetu tutazaa na nyie shwainnnnnnnnn
 
Hahah imebidi nicheke tu pamoja na kwamba maneno haya yanakera...

Labda awe rais wa taarabu. CCM itashinda ikibidi kuiba kura tutaiba na hakuna mtakalo weza kufanya. Hii nchi ni yetu sisi, nyie mnaishi tu humu.
 
Labda awe rais wa taarabu. CCM itashinda ikibidi kuiba kura tutaiba na hakuna mtakalo weza kufanya. Hii nchi ni yetu sisi, nyie mnaishi tu humu.

unaweza ukaona ni mzaha lakini kauli yako c nzuri
 
Labda awe rais wa taarabu. CCM itashinda ikibidi kuiba kura tutaiba na hakuna mtakalo weza kufanya. Hii nchi ni yetu sisi, nyie mnaishi tu humu.


Nikimnukuu Mkulu anasema:

"You have freedom to vote, but freedom after voting.....
That I can not guarantee you"

FISIEM kwa sasa kuiba kura ndio silaha yao ya mwisho, chaguzi zao tu za ndani ya chama wanakabana kwelikweli kwa sababu wote ni wezi wa kura. Hebu check kule TARIME walikamata box ambazo zimesha tickiwa kabla hata ya kupiga kura yenyewe. BUNDA kulikuwa na mauza uza hadi yule mzee alitangazwa mshindi na Mkuu wa Wilaya chini ya ulinzi wa Polisi. Hawa leo ndo wanasema upige kura uende nyumbani, sasa hayo matokeo ya watakayo toa na kubandika vituoni ni kwa ajili ya MISUKULE ipi?? Au watawapigia watu SIMU kuwa TUMESHAFANYA YETU hivyo RUKSA kurudi vituoni kwa ajili ya kusomewa matokeo???
Katika historia ya nchi hii hakuna MBUNGE wa upinzani aliyewahi kushinda bila wananchi {Nguvu ya Umma} kusimama kidete. JAMANI CCM ni ile ile na watu ni wale wale na WIZI NI ULE ULE.
 
nimeangalia comment ya kwanza mpaka ishirini zote zinafanana ndio mana wanawaita nyumbu haiwezekani mawazo ya watu wote kua yanafanana lazima kuwe na utofauti kidogo.
 
mjitekenye tuuu mtu mwenyewe kapigwa maswali BBC ya saa 3 usiku alikuwa anabwabwaja tuuu Ndio ashinde na sisi watanzania inabidi tukapimwe akili ikiyokwa
Ujiandae kupanga foleni Muhimbili kwaajili ya zoezi hilo.
 
Jana nimekiangalia kile kipindi,yule mzee mchambuzi wa siasa kutoka Uganda nilimpenda bure.
Alikuwa anaongea bila kupepesa macho kwamba CCM wameshindwa kwa zaidi ya miaka 50 kutuletea maendeleo na kutimiza ahadi/ilani zao.
Ila Shaka naona alikuwa analeta ukakasi kidogo,ila yule mzee Mungu ambariki.
 
nimeangalia comment ya kwanza mpaka ishirini zote zinafanana ndio mana wanawaita nyumbu haiwezekani mawazo ya watu wote kua yanafanana lazima kuwe na utofauti kidogo.

Welevu tunasoma tu comment na kusubiri tarehe 25, wanapeana moyo kwa kujiona wako wengi.
 
Vijana cyo wapiga kura nchi hii. Ni wanawake na waliopo vijijini. Mheni rasmi ni nani hadi atusemee watanzania mil 22? Amefanya research au utashi wa moyo wake? Mtanyooka tu safari
 
Back
Top Bottom