hawatumii band 2100 kama mitandao mengine ya kwetu tafuta simu yenye band nyingi kama s3, s4, s5, s6, iphone zote nk tumia kusearch ili uhakikishe kama upo.
Bado hawajaanza kutoa line kwa wateja. Wametoa kwa ma freelance tu na wafanyakzi wao. Kama una ndugu au rafaki anafanya kazi hapo mwambie.
Mi nilizipata kutoka kwa mfanyakazi wa hapo ninae juana naye
hawatumii band 2100 kama mitandao mengine ya kwetu tafuta simu yenye band nyingi kama s3, s4, s5, s6, iphone zote nk tumia kusearch ili uhakikishe kama upo.
zipo nyingi, simu yoyote yenye Quad band (band nne za 3g) itakubali. simu nyingi za mediatek zina band mbili 1900 na 2100 hivyo hazikubali, tafuta simu hata kwa rafiki ambayo iliwahi kutamba enzi za nyuma (flagship) kama galaxy s2, htc one x, nk au simu unayohisi itakubali search gsmArena halafu angalia band zake