Aliharibiwa na bashite lakini kabla alikuwa poa sanaSystem ndio mbovu sio individuals. Sirro ni mseminary anaijua dhambi kuliko shetani....
Shukran mkuu ngoja nijaribuMkuu, kuna thread alipost kipindi fulani. Jaribu kufuata hizi hatua, nadhani inaweza tatua changamoto zako.
App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi
Edited on Feb 14, 2024 Android users: Follow 👉🏾 DOWNLOAD JF APP iOS Users Users: Follow DOWNLOAD JF APPwww.jamiiforums.com
Mkuu IGP hapigiwi kura ba Wananchi, bali anateuliwa na rais. Hivyo si vibaya kumtaja au kupendekeza mtu unayeona anafaa. Kuliko akishachaguliwa unaanza kulalamika. Tumsaidie rais. Kumsaidia rais ni kusaidia Nchi
Ulichoandika ni kweli kabisa.Hata Kamanda Sirro anaijua mipaka ya polisi .
Huyo mtu akiteuliwa atakuwa mbaya kwa wananchi kuliko Kamanda Sirro
Hapana,huyo mama anafaa Sana, Susan Kaganda Ni mzalendo na analijua haswaa jeshi la policeCp Hamduni ndio anaifiti hiyo nafasi
Afande Kaganda Ni mtu Sahihi, atalifanyia mabadiliko makubwa jeshi la policeKwa hiyo video ya kwanza, itoshe kusema tunahitaji MFANYA MAAMUZI SAHIHI kwa spidi na wakati sahihi!
Huyu si mmoja wao ingawa kichama hilo sio muhimu sana.
Bk tofauti na sukuma gangHapa Jf wana bukoba tuko wengi!
Watakuwa wamemuonea kama Wakizingatia Jinsia. Tulitakiwa Tanzania tuweke History. Inaonesha sehemu Wanawake Wanaongoza, Utendaji ni mzuri Tatizo Majungu tu.Anafaa lakini hatapewa kutokana na jinsia yake.
Mwisho wa Siku hata asipochaguliwa Kaganda, hakuna IGP anayetegemewa kuchaguliwa kwamba ndiye mwenye System. IGP anategemewa kutokana na hawa Polisi wetu. Kila mtu ana uhuru wa kupendekeza nani kwake ni bora. Kaganda Mungu azidi kumuongozaSystem ndio mbovu sio individuals. Sirro ni mseminary anaijua dhambi kuliko shetani....
Amen amen. Mama Kaganda anathamini usawa wa kijinsia na anajua kusuruhisha Migogoro.rais wetu, mama yetu ni msikivu sana azidi kubarikiwa
Nadhani kila mtu ana Mapungufu yake. Hadi sasa Kamanda Sirro yupo Viziri. Tatizo lake ni kuchanganya kazi na Siasa ili kujihakikishia Ustaafu wake japo apate Ubalozi. Ila Sirro mtu wa Mungu sana na Mtenda haki. Wanaomlaumu wanasiasa wa Upinzani. Naona kwenye Siasa ndo hajafikia MafanikioHata Kamanda Sirro anaijua mipaka ya polisi .
Huyo mtu akiteuliwa atakuwa mbaya kwa wananchi kuliko Kamanda Sirro
Mfumo ubadilike, sio watu, tena kwa kutegemea akili ya mtu!Afande Kaganda Ni mtu Sahihi, atalifanyia mabadiliko makubwa jeshi la police