figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,483
- 54,853
Salaam Wakuu
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Susan Kaganda alikuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni kabla ya kupelekwa kuwa Mkuu wa Kitengo cha Mafao cha Jeshi la Polisi.
Anapigiwa Chapuo kuwa Inspekta Jenerali wa Polisi(IGP).
Nashauri Kaganda aongezewe Ulinzi mapema hadi ulinzi wa nini anakula sababu nyota njema huonekana asubuhi.
Kaganda ni Matunda ya Watanzania, hivyo ni heshima kubwa kwa taifa kuongozwa naye. Hakika nchi itapona na mgawanyiko utaisha.
Nimekuwa nikimfuatilia kwa muda sasa. Nimeona ni mtu anayefanya kazi zake kwa Weledi, mnyenyekevu, anajua mipaka ya Askari, anaheshimu Wakubwa zake wa kazi, ni msikivu. Pia ni Mcha Mungu. Hana Matabaka. Anachangia misiba na harusi. Ni mwingi wa Huruma(Mzazi).
Anajua kwamba cheo ni dhamana.
Nimejitahidi kutafuta CV yake bila mafanikio, lakini nimepata video zake ambazo kila mtu akisikiliza na kuangalia, atajua ni Mtu wa aina gani.
Wapo wenye CV nene lakini wameisaliti Nchi. Hivyo CV si chochote.
Tanzania tunao watu wengi wanaofaa kuwa IGP lakini na Kaganda ni Mmoja wapo, hata kama akiachwa sio kwamba hafai. Nitazidi kumheshimu.
Kama tunataka Mungu aibariki Tanzania, kama tunataka mabadiliko ndani ya Jeshi la Polisi, dawa sio kutukana, kukejeli wala kudharau Viongozi wa Kitaifa. Toa Ushauri au Pendekeza nini kifanyike. Mimi siwaungi Mkono wanaotumia lugha chafu dhidi ya IGP wetu Sirro anayemaliza muda wake kwa sababu mimi ndo nilipendekeza Sirro awe IGP na amefanya Mambo mengi makubwa. Ili Nchi iwe na amani, Simon Sirro awe Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini(IGP) , ana hofu ya Mungu
Silkiliza hekima zake kwenye hizi Video mbili kabla ya kuandika chochote. Tumhukumu kwa haki.
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Susan Kaganda alikuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni kabla ya kupelekwa kuwa Mkuu wa Kitengo cha Mafao cha Jeshi la Polisi.
Nashauri Kaganda aongezewe Ulinzi mapema hadi ulinzi wa nini anakula sababu nyota njema huonekana asubuhi.
Kaganda ni Matunda ya Watanzania, hivyo ni heshima kubwa kwa taifa kuongozwa naye. Hakika nchi itapona na mgawanyiko utaisha.
Nimekuwa nikimfuatilia kwa muda sasa. Nimeona ni mtu anayefanya kazi zake kwa Weledi, mnyenyekevu, anajua mipaka ya Askari, anaheshimu Wakubwa zake wa kazi, ni msikivu. Pia ni Mcha Mungu. Hana Matabaka. Anachangia misiba na harusi. Ni mwingi wa Huruma(Mzazi).
Anajua kwamba cheo ni dhamana.
Wapo wenye CV nene lakini wameisaliti Nchi. Hivyo CV si chochote.
Tanzania tunao watu wengi wanaofaa kuwa IGP lakini na Kaganda ni Mmoja wapo, hata kama akiachwa sio kwamba hafai. Nitazidi kumheshimu.
Kama tunataka Mungu aibariki Tanzania, kama tunataka mabadiliko ndani ya Jeshi la Polisi, dawa sio kutukana, kukejeli wala kudharau Viongozi wa Kitaifa. Toa Ushauri au Pendekeza nini kifanyike. Mimi siwaungi Mkono wanaotumia lugha chafu dhidi ya IGP wetu Sirro anayemaliza muda wake kwa sababu mimi ndo nilipendekeza Sirro awe IGP na amefanya Mambo mengi makubwa. Ili Nchi iwe na amani, Simon Sirro awe Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini(IGP) , ana hofu ya Mungu
Silkiliza hekima zake kwenye hizi Video mbili kabla ya kuandika chochote. Tumhukumu kwa haki.