benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amempandisha cheo Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Muliro Jumanne Muliro, kuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (Senior Assistant Commissioner of Police-SACP).
Taarifa iliyotolea na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP,) Camillius Wambura, imeeleza kuwa SACP Jumanne Muliro Jumanne amepandishwa cheo hicho kuanzia Februari 20, mwaka huu 2023.
Taarifa iliyotolea na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP,) Camillius Wambura, imeeleza kuwa SACP Jumanne Muliro Jumanne amepandishwa cheo hicho kuanzia Februari 20, mwaka huu 2023.