BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
Rais Samia Suluhu Hassana amempandisha Cheo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Suzan Kaganda kuwa Kamishna wa Polisi.
Vile Vile Rais Samia amemteua Kamishna Kaganda kuwa Kamishna wa Utawala na Rasilimali watu wa Jeshi la Polisi. Kamishna Kaganda anachukua nafasi ya Kamishna wa Polisi (CP) Benedict Wakulyamba ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Uteuzi umeanza rasmi.
Tazama video hapa chini kuona alivyowafokea Trafiki wanaoendekeza Rushwa
Uteuzi umeanza rasmi.
Tazama video hapa chini kuona alivyowafokea Trafiki wanaoendekeza Rushwa