UTEUZI: Suzan Kaganda ateuliwa kuwa Kamishna wa Utawala na Rasilimali watu

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
Rais Samia Suluhu Hassana amempandisha Cheo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Suzan Kaganda kuwa Kamishna wa Polisi.

1686677996271.png
Vile Vile Rais Samia amemteua Kamishna Kaganda kuwa Kamishna wa Utawala na Rasilimali watu wa Jeshi la Polisi. Kamishna Kaganda anachukua nafasi ya Kamishna wa Polisi (CP) Benedict Wakulyamba ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Uteuzi umeanza rasmi.

Tazama video hapa chini kuona alivyowafokea Trafiki wanaoendekeza Rushwa



IMG_1408.jpg
 
Rais Samia Suluhu amempandisha cheo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Suzan Kaganda kuwa Kamishna wa Polisi.

Aidha, Rais Samia amemteua Kamishna Kaganda kuwa Kamishna wa Utawala na Rasilimali watu wa Jeshi la Polisi, amechukua nafasi ya Kamishna wa Polisi (CP), Benedict Wakulyamba ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Cheo.jpg
 
Rais Samia Suluhu amempandisha cheo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Suzan Kaganda kuwa Kamishna wa Polisi.

Aidha, Rais Samia amemteua Kamishna Kaganda kuwa Kamishna wa Utawala na Rasilimali watu wa Jeshi la Polisi, amechukua nafasi ya Kamishna wa Polisi (CP), Benedict Wakulyamba ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Anaapishwa lini?
 
Back
Top Bottom