The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Mpiga debe chaliiii 😬😬
Mavijana ya Bavicha akili hayana. Wanataka IGP wanaempenda wao ili wamburuze, mama kawashtukiaMpiga debe chaliiii
Jifunze adabu. Unaniita mama sababu wazazi wamekulea vibaya si kosa lakoWewe Mama wa Tanga umetoka Facebook hadi huku kumpigia kampeni? Haya! Ngoja tuone.
Umeumbuka. Hamnaki kuona watu wanaofanya vizuri wakitajwa. Haya sema kaharibiwa nini? Mbona rais kamuona? Lione.. Umeumbuka na nidhamu ya uoga. Kajinyonge kwa kamasiNyie ndio mnamuharibia dada wa watu. Nyambaff zenu