HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,911
- 6,591
Kajenge uweke kwako
Akajenge chato wamkumbuke vizuri....tusijenge ya nyerere tuweke ya JPM hajamalizi ata aka 2Hivi Watanzani tunasubili nini kujenga Sanamu ya Rais Magufuli na kuiweka Posta.Tukichelewa kujenga Sanamu wenzetu Kenya watawahi na kusema anatoka nchini kwao.Naomba tuungane Katika hili Watanzani.
Nawasilisha
Hapana mkuu kila nchi ambayo kiongozi wao amefanya mambo mazuri huwa wanajenga Sanamu kwa hapa Tanzania ni Magufuli
Nalijuwa hilo lakini kujenga Sanamu inamwongezea motisha ya kufanya vizuri zaidiSawa kwa mawazo yako ila ni mapema mno. Hatukawii kubadilika na kumsema vinginevyo. Unakumbuka JK alivyoanza? ilikuwa furaha .... baadae dhaifu...
Nalijuwa hilo lakini kujenga Sanamu inamwongezea motisha ya kufanya vizuri zaidi
Mkuu ungeenda hasara bure maana Watanzania Milini 40 wapo kama mtoa madaKama kungekuwa na uwezo wa kuongeza Ram na processor kwenye kichwa cha binadamu ili mtu aweze kuchambua mambo kiundani na kuyaelewa kiundani, ningekununulia Mkuu.
Pinga tena. Ikiwezekana nenda mahakamani kaweke pingamizi mkuu.Hakuna hoja uliyoandika, jipange Tena upya