choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,554
Kwan biashara ya bombadia huko ikoje.
ipo vizuri na kila siku wana jaza abiriaKwan biashara ya bombadia huko ikoje.
imesema kwa issue ya kufufua atcl soma vizuri na kuna sehemu nimesema amefanya vibayakwa iyo unataka kutuaminisha kwamba Gwajima ni the DON kushinda viongoz waliopita? sababu yeye kaagiza ndege abroad kwa ajili ya kufundishia tu
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
Hahaahaaa hao jamaaaa kwanza haina haja ya kuwajibu vihoja uchwara vyao wacha walalamike wakijakushtuka nchi imesonga mi sioni jipya ambalo upinzani watalifanya wakipewa nchi kumzidi magu,,i wish magu 15 years tupate maendeleo na maendeleo huwa yanakuja kwa kujifunga mkanda.Waliodumaa akili wanafikili mabadiliko ni kuzungusha mikono tu, kisha mnarudi nyumbani kulala
Hahaahaaa hao jamaaaa kwanza haina haja ya kuwajibu vihoja uchwara vyao wacha walalamike wakijakushtuka nchi imesonga mi sioni jipya ambalo upinzani watalifanya wakipewa nchi kumzidi magu,,i wish magu 15 years tupate maendeleo na maendeleo huwa yanakuja kwa kujifunga mkanda.Waliodumaa akili wanafikili mabadiliko ni kuzungusha mikono tu, kisha mnarudi nyumbani kulala
kweli watanzania inabidi tupimwe akili kitu kikiwa cheupe hata ukiwa mbali kwa cm 100 utakiona ni cheupe na kikiwa cheusi utakiona ukiona walalimikaji wanakuwa wengi kuzzidi wanaokusuppot jua kuna tatizo mahal,haingii akilini kila mtu aliye bado unasema upo sawa
Wivu umekutawala hoja zako nyepesi sanahatuwezi kupata mabadiliko ya kweli kama CCM bado ipo madarakani.
Nchi inakabiliwa BAA LA NJAA, rais anasema tusitangaze kama kuna njaa. Mwenzake wa Kenya ameshatanga kwa raia wake. [Afu unasema ndo rais wa wanyonge).
Walisema sukari imefichwa kumbe ni uongo, bei imepanda mpaka sasa serikali imeshindwa kuishusha (inajinasibu ni serikali ya wanyonge, sijui wanyonge gani)
Tanzania ya sasa inatawaliwa ktk misingi ya udini {ukiristu} na ukanda
Zabuni za ujenzi Chato kapewa mtoto wa dada yake{afu unasema ndo rais tuliyemuhitaji}.
Mpaka sasa hakuna fedha za mfadhili yoyote iliyotolewa kusapoti bajeti yetu, Makusanyo yote ya ndani ya ndani yanatumika kulipa mishahara na madeni tu.
Pamoja na kubana matumizi , shilingi ya Tanzania imezidi kuporomoka dhidi ya Dollar ya marekani, na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa za kuinusuru
Na kila anaelalamika mnasema alikuwa mpigaji hata kama ni mjasiriamali aliekopa hela benki kufanya biashara zake halali.
Watu wamepiga hela za Lugumi, hakuna hatua zozote za kumwadhibu aliehusika.
Walituaminisha kwenye kampeni mwaka 2015, Lowassa ni fisadi. Wamejenga mahakama ya mafisadi. Mpaka sasa hawawezi kumkamata ilhali wana kila kitu cha kumkamata.
Serikali ya CCM imeishiwa Pumzi, inaelekea KUFA.
Si mzima wewe, ukapimwe akili
Hata mimi nipo na rais wangu magu ukawa wapiga dili tu.Umefuata mtu sio sera vijana hawawezi kuchukua ushauri wako.... kwa hyo magu akistaafu siasa si ina maana utahama tena ccm??
Mkuu usiwe mfuasi wa watu simamia itikadi na sera maana watu wanapita ila sera na itikadi zikiwa imara husimama milele
Mkuuu nimekusoma mia kwa miaUkumbuke mpaka sasa hivi mwenye maono ya Tanzania ni rais, ningekuelewa ukisema kuwa unamuunga rais mkono kwa juhudi mbalimbali anzazozifanya, maana sina uhakika kuwa kile anachokitaka Rais wanzake wanakijua au wanafuata nyuma, rais amejipambanua wazi kabisa kuwa siasa hazina nafasi sasa kinachosisitizwa si aina ya chama kilichopo bali ni nini unafanya kwa ajili ya kuinasua Tanzania kutoka mkwamo wa kifikra na kubaini ukombozi uliopo ili Taifa lisonge mbele.
Wewe kumsupport mtu haikufanyi kuchukia upande wa pili?? Kwani hakuna wapinzani wanaomuunga mkono magufuli??? Sisi tunampinga magufuli au huwa tunapinga anapokosea kosea kma mwanadam??? Mbona mnafanya kuwa siasa ni uadui??? Kwani tunakomoana???Hata mimi nipo na rais wangu magu ukawa wapiga dili tu.
Hawajakupofua kweli jicho la tatu huko india maana nasikia wanapenda sana kula jichoNiko India kwa mafunzo ya muda mfupi, kwenye Coffee break kwa kawaida watu hupata kufahamiana zaidi mbali na ile introduction inayofanyika chumba cha warsha..... kifupi hapa mimekua superstar kwa muda mfupi maana kila mtu anataka kusema lake kuhusu JPM, na kwa kweli japo nafahamu Rais wangu maarufu kiasi chake, sikuwa nikidhani kama mtu kutoka Nigeria , Ghana, Malawi angeweza mfahamu kwa namna ya kumtamani, kuna huyu kijana wa Malawi anathubutu kusema natamamni angekuwa Rais wangu!!
Hayo tu kwa leo
Niko India kwa mafunzo ya muda mfupi, kwenye Coffee break kwa kawaida watu hupata kufahamiana zaidi mbali na ile introduction inayofanyika chumba cha warsha..... kifupi hapa mimekua superstar kwa muda mfupi maana kila mtu anataka kusema lake kuhusu JPM, na kwa kweli japo nafahamu Rais wangu maarufu kiasi chake, sikuwa nikidhani kama mtu kutoka Nigeria , Ghana, Malawi angeweza mfahamu kwa namna ya kumtamani, kuna huyu kijana wa Malawi anathubutu kusema natamamni angekuwa Rais wangu!!
Hayo tu kwa leo