Tujifunze Ubepari kutoka kwa wenzetu...Bofya hapa chini.
Competition Bureau - Prices at the Gas Pump
Competition Bureau - Prices at the Gas Pump
nashangaa nchi yetu imegeuka zimbabwe!!!! we need to be dictator sometimes tufunge vituo vyote na kuwanyangana leseni wote wanaohusika!!!
Nilishalisema hili kwenye mada fulani. Wengi walitubishia na kusema serikali iache hiyo biashara. Nikasema kuwa kama nchi kuna huduma lazima ziwe mikononi wa Serikali. Hizo ni Elimu, Afya, Maji na Energy. Watu binafsi wasaidie tu. Wengine walituona tumepitwa na wakati. Nchi gani inayoweka mambo ya energy mikononi mwa watu binafsi?
Ntaicheki hiyo makala ...
Huwa wanakurupuka tu na sera bila kutathmini athari za sera hizo. Hivyo vyote ulivyovitaja hapo juu kamwe havistahili kuachiwa watu binafsi wavisimamie.
Hapa ndo huwa nashindwa kuelewa, hivi tuna wataalam kweli?
na kama wapo basi watakuwa wataalam uchwara, na kama si uchwara
ni wapuuzi wanaoshindwa kutumia taaluma zao kunufaisha wananchi.
kama kungekuwa na umakini wakutosha upuuzi unaotokea hivisasa
wa wafanyabiashara wa mafuta kufanya mgomo baridi usingetokea.
Na hii yote ni ile kukosa uzalendo.....
Wachangiaji na MODS, nafikiri mmefanya kosa kuichanganya hii makala kwenye vituo vya mafuta. Naomba muichanganye na hii makala chini.
Tulishawahi kuliongelea hili na watu kama KOBA wakawa wanapinga vibaya sana. Ukiiunga hapa na kuipa kichwa kipya, italeta mtiririko mzuri.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/15600-tanzanians-pay-much-more-power-2.html
oil moperator wanaojiona wako above everything na wanaamini serikali haiwezi kuwafanya kitu kwa sababu wamezoeshwa hivyo,ila nakuhakikishia kama serikali inafanya kazi huu upuuzi ni wa kumaliza kwa dakika mbili na watu hapa lazima wafikishwe mahakamani na licence lazima ziwe revoked...hakuna market failure hapo ni uzembe na ulafi tuu!
- Tupo wote hapa mkuu Koba.
Right. Unaweza ku-revoke licenses kama una njia mbadala ya kuingiza mafuta nchini. Kama Serikali ita-revoke licenses za makampuni yote au baadhi, unafikiri ni nini kitatokea? I think, there's no single current player with the capacity to supply for the entire country. BP? Oil Com? The bottom line is our Government is not prepared to implement what you are proposing. What do you think?
....hii sio free market failure ila ni sabotage tuu ya hawa walafi,dawa ni kuwakomesha kwa sheria zilizopo na hawatarudia tena,kumbuka unapopewa licence to operate oil company inakuja na legal obligations zake,ndio maana sio kila mtu anaweza kupewa hiyo licence hata kama una pesa, ni privilege tuu na inaweza kuchukuliwa anytime ukishindwa operations,sio kwa sababu una hiyo licence basi unaweza kufunga na kufungua pump anytime ukitaka na usifikiri free market ina maana unaweza kujipangia bei yeyote unayotaka,na huwezi kusema huuzi mafuta kwa ajiri stock imekwisha bila sababu zinazoeleweka au uzembe tuu,bei ya mafuta haitoki mbinguni na hata Tanzania kuna legal chanel za kupandisha na kushusha bei na lazima uzifuate na ziko clear kwa kila mtu anayeomba hiyo licence,ndio maana EWURA wameweza kuja na hiyo bei,kisheria ukiomba licence ya kuuza mafuta lazima uuze katika capacity uliyoomba...hii issue ni lazyness tuu ya utawala uliopo na oil moperator wanaojiona wako above everything na wanaamini serikali haiwezi kuwafanya kitu kwa sababu wamezoeshwa hivyo,ila nakuhakikishia kama serikali inafanya kazi huu upuuzi ni wa kumaliza kwa dakika mbili na watu hapa lazima wafikishwe mahakamani na licence lazima ziwe revoked...hakuna market failure hapo ni uzembe na ulafi tuu!
Hii kitu irudishwe na MILELE ibaki chini ya SERIKALI.
- Mkuu are you serious au unatania, serikali ipi hiyo? Hivi hukuwepo enzi za kutokuwa na mafuta weekend? Unataka turudi tena kuleeeeee! Woooi!
- Wameleta haya makampuni uchwara, wame-invest hela zao binafsi huko...
- , tatizo ni viongozi wetu wengi wame-invest personally kwenye mafuta, ndio maana hapa kuna kusua sua,
- Wameleta haya makampuni uchwara, wame-invest hela zao binafsi huko ndio maana wamezuia competition sasa wa kulipa ni sisi wananchi, I bet you magari yote ya viongozi wa serikali hayakuwa na tatizo la mafuta,
Now I can see the connection kwa nini makampuni haya ya mafuta yanachangia fedha nyingi sana wakati wa kampeni... kumbe ni zao wenyewe!!!!
- Mkuu are you serious au unatania, serikali ipi hiyo? Hivi hukuwepo enzi za kutokuwa na mafuta weekend? Unataka turudi tena kuleeeeee! Woooi!