Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Wigi niwigue kiti changu cha uspika nisikiachilie
Mbona mnanisakama hivi??
![]()
Mbona mnanisakama hivi??
![]()
labda huko ndani ya wigi kuna hirizi, chezeiya ccm ww??? wanapenda ndumba acha kabisa!Wigi niwigue kiti changu cha uspika nisikiachilie
Umenifurahisha sn kyalomko teh teh teh teh eti wigi la utalii simpendi yule mama
kwi kwi kwi kwiHata wigi analovaa kichwani nalo ni kituko. Pia laweza kuwa kivutio cha watalii.
Matokeo ya kuchagua SPIKA asiye na sifa.
Kwenye katiba mpya, tutataka spika asiye mbunge, na achaguliwe na wananchi
Hata wigi analovaa kichwani nalo ni kituko. Pia laweza kuwa kivutio cha watalii.
1. Ni mtalaam wa kuzima hoja za wabunge.
2. Anaunda kamati na uchunguzi wake anaweka kabatini.
3. Anavunja kamati na hawezi kuunda mpya.
4. Anakimbiwa na wabunge wakati bunge likiendelea.
5.....
6....
7....ana-biffu na halima mdee kwa mambo ya kikekike tena mbele ya kiti ndani ya bunge nanukuhu " yaaani harima unanijibu hivyoooo"..halima.."hivyohivyo meseji sent" mwisho wa kunukuhu.
8....anamsemea zitto kabwe kwa mama yake
9....anamjibia pinda maswali ya serikali wakati yeye ni muhimili wa bunge linalotakiwa kuiwajibisha serikali
10... Amefunga barabara na kuwanyima mawasiliano majirani zake huko kijitonyama
11... Anatumia gari la serikali kwa shughuli binafsi ikiwamo kwenda kanisani kwa kutumia benzi la serikali na kutuletea usumbufu wa kuwa anasali nyuma kuna bodyguard wa serikali anayelipwa na serikali kumlinda wakati yupo kwenye ishu binafsi
12-... Wananchi wengi hatumpendi tuu in general hafaiiii.
Lile wigi anavaa bungeni tu, akiwa safarini anasuka vizuri. Wanasiasa wetu ni washirikina sana na hajui ni nini wajibu wao kwa wananchi wao.