mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 20,455
- 36,446
Matokeo ya kuchagua SPIKA asiye na sifa.
Kwenye katiba mpya, tutataka spika asiye mbunge, na achaguliwe na wananchi
mkuu Bujibuji na asichaguliwe sababu ni mwanamke nakataa na kupinga kabisa kumpa mtu cheo ati kwa kuwa ni manamama......mtu apewe kazi anayoiweza,
jinsia iangaliwe tu pale anapokua amekidhi viwango na si kubebana