Lile wigi anavaa bungeni tu, akiwa safarini anasuka vizuri. Wanasiasa wetu ni washirikina sana na hajui ni nini wajibu wao kwa wananchi wao.Hata wigi analovaa kichwani nalo ni kituko. Pia laweza kuwa kivutio cha watalii.
.......
1.ni mtalaam wa kuzima hoja za wabunge.
2.anaunda kamata na uchunguzi wake anaweka kabatini.
3.anavunja kamati na hawezi kuunda mpya.
4.anakimbiwa na wabunge wakati bunge likeindelea.
5.
6.
...........
Hata wigi analovaa kichwani nalo ni kituko. Pia laweza kuwa kivutio cha watalii.
1. ni mtalaam wa kuzima hoja za wabunge.
2. anaunda kamati na uchunguzi wake anaweka kabatini.
3. anavunja kamati na hawezi kuunda mpya.
4. anakimbiwa na wabunge wakati bunge likiendelea.
5.....
Lile wigi anavaa bungeni tu, akiwa safarini anasuka vizuri. Wanasiasa wetu ni washirikina sana na hajui ni nini wajibu wao kwa wananchi wao.
6.Anapenda kuficha mvi zake na nywele bandia1. ni mtalaam wa kuzima hoja za wabunge.
2. anaunda kamati na uchunguzi wake anaweka kabatini.
3. anavunja kamati na hawezi kuunda mpya.
4. anakimbiwa na wabunge wakati bunge likiendelea.
5.....
wadau, mnyonge mnyongeni, hivi wewe hujamuona recently alivyo badilisha style ya usukaji hadi ameongeza na mikogo kwa jinsi anavyojiona kapendezaHata wigi analovaa kichwani nalo ni kituko. Pia laweza kuwa kivutio cha watalii.
Senkyu vere mache
Mama ako wa upako Anne MakindaEti sipika ndo nani?