Spalulu
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 284
- 146
Aisee kweli we muhenga
Ukweli Boarding lazima uikumbuke tu hataiweje, Miaka ya 87 jamaa yangu yeye hali ilivyokua ngumu siunajua nyama haionekani mpa siku maalumu?nakumbuka ilikua weekend alisikia mbuzi wanalia maeneo ya shamba la shule,,hakuaga mtu akaanza kunyata tariiitiiiibuuu hamadi mbuzi,akajitahidi akamkamata mmoja akafikiria sasa mbona mzimamzima hii itakua soo,mbuzi akaanza kupiga kalele mmmmeeeeeee akasema sasahiibalaaa akamziba mdomo aaaaa wapi mvuzi anaendeleaa tu,ikamjia akili yaharka alifikiria kumchinja,akaona hapana siaka mkata paja moja la kulia kisha akamuachia,akalificha juu yamti kisha akarudi bwenini,akatusitua oyaa chukuen chumvi mnifuate(huwezi amini tumefika akashusha mzigo ukachomwa fasta ukapigwa kimya kimya)ukweli mbaya sanaaaa