Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

88e4a78d-b6dd-4bdb-9f62-aaefeaa498b2.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
HADITHI YA KAINI NA ABILI ILIIBWA MISRI KABLA YA UKRISTO

[emoji433]SETH na OSIRIS wanawakilisha kaini na abili ,ila wazungu walichokifanya ni kubadilisha story TU ila ukweli huko wazi.

[emoji433]Hawa ni ndugu wawili

[emoji433]Osiris na Sethi walikuwa wana wa mungu mama mkuu Nut. Osiris alikuwa mfalme wa nchi tajiri za Misri ya juu.

[emoji433] Geb alimweka Osiris kwenye kiti cha enzi cha Misri, na utawala wake ulikuwa mzuri na taifa lilikuwa na furaha na ustawi.

[emoji433] Seti akamwonea ndugu yake wivu sana, akataka kumuua ili apate kuchukua kiti chake cha enzi

[emoji433]Sethi alikuwa na wivu na kumuua kaka yake, kisha akamkata vipande vingi na kutupa phallus yake kando ya mfereji wa Netat, karibu na Abydos, .
Screenshots_2023-12-05-16-26-14.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom