Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

1701767915179.jpg
 
Ni kweli, hadithi nyingi za bibilia zimetoholewa kutoka kwenye tamaduni zingine.

Gharika la nuhu imetolewa kwenye the epic of gilgamesh kutoka Babylon,

Hadithi ya Musa imefanana na ya Sargon kutoka Mesopotamia,

Hadithi ya Ayubu nayo imetolewa Mesopotamia,

Zaburi, Mambo ya Walawi, zimefanana na maandiko ya misri, na vingine vingi.

Dini inazaliwa, inakua kwa kutohoa kutoka sehemu zingine, pia inakufa, dini za sasa zimetokana na dini za zamani zaidi.
Dini inazaliwa, inakua kwa kutohoa kutoka sehemu zingine, pia inakufa, dini za sasa zimetokana na dini za zamani zaidi.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli, hadithi nyingi za bibilia zimetoholewa kutoka kwenye tamaduni zingine.

Gharika la nuhu imetolewa kwenye the epic of gilgamesh kutoka Babylon,

Hadithi ya Musa imefanana na ya Sargon kutoka Mesopotamia,

Hadithi ya Ayubu nayo imetolewa Mesopotamia,

Zaburi, Mambo ya Walawi, zimefanana na maandiko ya misri, na vingine vingi.

Dini inazaliwa, inakua kwa kutohoa kutoka sehemu zingine, pia inakufa, dini za sasa zimetokana na dini za zamani zaidi.

Bas kati ya post zako zote nilowah kukutana nazo hii ya leo imevuruga moyo wangu[emoji3] sijui kwann ila ndo hivyo,, guess what next LOl
 
Back
Top Bottom