Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

1701758455191.jpg
 
Ni kweli, hadithi nyingi za bibilia zimetoholewa kutoka kwenye tamaduni zingine.

Gharika la nuhu imetolewa kwenye the epic of gilgamesh kutoka Babylon,

Hadithi ya Musa imefanana na ya Sargon kutoka Mesopotamia,

Hadithi ya Ayubu nayo imetolewa Mesopotamia,

Zaburi, Mambo ya Walawi, zimefanana na maandiko ya misri, na vingine vingi.

Dini inazaliwa, inakua kwa kutohoa kutoka sehemu zingine, pia inakufa, dini za sasa zimetokana na dini za zamani zaidi.
Dini inazaliwa, inakua kwa kutohoa kutoka sehemu zingine, pia inakufa, dini za sasa zimetokana na dini za zamani zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom