Kumbe umewahi kula hiyo nyama Mkuu?Mojawapo ya nyama bora kabisa za wanyama wa porini nilizowahi kula 😋
Sina habari Mkuu, ngoja nipite pite huenda nikabahatika kuiona.Selfka si ipo imefufuka mkuu? Mwambie huyo mjukuu wako akupeleke. Labda kama watakuwa wamechafua hewa tena 😁🖐
Narudia tena: HAYANAGA MWONGOZO! 😁😁😁
Simple but elegant...
Kule kwa watoto usiende.Sina habari Mkuu, ngoja nipite pite huenda nikabahatika kuiona.
Mkuu Shimba ya Buyenze kama hautajali naomba unicheki ofisi ya Waziri Mkuu.
Nina emergency
😂😂😂🏃🏃🏃🏃Narudia tena: HAYANAGA MWONGOZO 😁😁😁