Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20231021_125953_198.jpg
 
Ukiamka uko mzima mshukuru Mungu sana 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

Huyu ni mgonjwa wa figo. Kutokana na umaarufu wa hizi energy drinks, watu kutokunywa maji mengi na utumiaji wa vilevi vikali, kuongezeka kwa ugonjwa wa presha na matumizi ya chumvi kupindukia wataalamu wa afya wanaonya kuwa miaka 10-20 ijayo kutakuwa na mripuko mkubwa wa magonjwa ya figo, ini moyo na kisukari.

Chukua hatua ili kulinda figo yako!

Screenshot_20231021_131850_Instagram Lite.jpg
 
Back
Top Bottom