Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

📌📌📌📌🙏🏿🙏🏿🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️

Screenshot_20231120_122114_Chrome.jpg
 
𝗔 𝘃𝗲𝗿𝘆 𝗵𝗲𝗮𝗿𝘁 𝘄𝗮𝗿𝗺𝗶𝗻𝗴 𝗽𝗵𝗼𝘁𝗼. 1895.
"𝗪𝗵𝗲𝗻 𝘆𝗼𝘂 𝗵𝗮𝘃𝗲 𝗻𝗼𝘁𝗵𝗶𝗻𝗴 𝗯𝘂𝘁 𝗹𝗼𝘃𝗲, 𝘆𝗼𝘂 𝗵𝗮𝘃𝗲 𝗲𝘃𝗲𝗿𝘆𝘁𝗵𝗶𝗻𝗴." 🤎[emoji253]
FB_IMG_1700481688226.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mojawapo ya nyama bora kabisa za wanyama wa porini nilizowahi kula 😋
Kumbe umewahi kula hiyo nyama Mkuu?

Nilikuwa na ndugu alikuwa na kibali cha kuwinda wanyama pori.

Alifanya nibahatike kula nyama za Digidigi, Swala, Nyati, Pundamilia na Nyumbu.

Japo nami kwasasa nahangaikia kibali niwe nawinda kwaajili ya Kitoweo na kuweka Bucha la Nyama Pori hapo Makumbusho ama Savei.
 
Back
Top Bottom