myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Jirani.....mbona ndio rangi zetu.
Inawezekana
Anaulizia kama ulishamla ili ajiumize tu. Na una roho nzuri. Mwingine angesema hapa nishakula mno na bado nakula. Hata wikendi iliyopita alikuwa ghetoni kwangu 😁😁😁🏃🏿♂️Kasema duniani wawil wawili![]()
Hii asubuhi, mchana au jioni.
Hatariii....Hizi ndo familia bwana!
Na mama amepitishiwa mafao ya wenza wa viongozi...dah!
View attachment 2810238
Anaulizia kama ulishamla ili ajiumize tu. Na una roho nzuri. Mwingine angesema hapa nishakula mno na bado nakula. Hata wikendi iliyopita alikuwa ghetoni kwangu![]()
hap moyo wa jamaa umesema Alhamdulillah
🙏🙏