Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

20231022_065203.jpg
 
Msanii maarufu hapa Tanzania VANILLAH ambaye ni msanii wake na alikiba kutoka KING MUSIC amewaacha hoi wasanii wake pamoja na mashabiki zake uko kwenye mitandao yake ya kijamii hasa instagram #VanillahMusic baada ya kupost picha ambayo inaonesha akiwa amevaa nguo za mwanamke za kwenye harusi (Shela)
View attachment 2802453

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaolewa na yoooooooh
 
Back
Top Bottom