Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20231103-094119.jpg
 
Tangu selfika ifungwe watu wametawanyika wamekuwa kama mayatima vile. Uko poa mjukuu? Mtaa unasemaje baada ya chuo? Ushapata kazi?
Yaan babuu acha kabisaa, selfika imefanya watu wengine wapotee,
Sisi wengine wakulungwa wa JF tunaswampaa kote,

Life LA kitaa gumu balaa, fanya kunitafutia mchongo bas na mie nijipatie maokotoo nisubiri kufa kwa unafuu.
 
Back
Top Bottom