Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Imeisha hiyo ankal🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Wacha nianze kushukuru kabisa.asante ankal👏👏
Imeisha hiyo ankal🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Kule wapi? 😬😬😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Hakuna mdada ambaye hajui kucheat hasa siku hizi. Labda ukamtoe mbinguni 😬😬😬
Ofishale mwamba kaleft group au ni kiki tu za kisanii? 😳Msanii maarufu hapa Tanzania VANILLAH ambaye ni msanii wake na alikiba kutoka KING MUSIC amewaacha hoi wasanii wake pamoja na mashabiki zake uko kwenye mitandao yake ya kijamii hasa instagram #VanillahMusic baada ya kupost picha ambayo inaonesha akiwa amevaa nguo za mwanamke za kwenye harusi (Shela)
View attachment 2802453
Sent using Jamii Forums mobile app