Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20231103_164014_Instagram Lite.jpg
 
Msanii maarufu hapa Tanzania VANILLAH ambaye ni msanii wake na alikiba kutoka KING MUSIC amewaacha hoi wasanii wake pamoja na mashabiki zake uko kwenye mitandao yake ya kijamii hasa instagram #VanillahMusic baada ya kupost picha ambayo inaonesha akiwa amevaa nguo za mwanamke za kwenye harusi (Shela)
View attachment 2802453

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa tramuu
 
Timu ya Simba SC imetajwa kuwa na wanawake wenye mvuto zaidi kuliko timu zote zinazoshiriki katika ligi kuu ya NBC.

Inasemekana Wanawake wa Simba wanafuatwa kwa ukaribu na wanawake kutoka timu ya Yanga. Taarifa hii imeleta sintofahamu kubwa baina ya mashabiki wa kike wa Simba na Yanga kila moja akisema wao ndio wenye mvuto zaidi.

Tumalize mzizi wa fitina hapa.....Nani wana mvuto zaidi? Weka uthibitisho wa picha zao hapo kwenye komenti.
FB_IMG_1699033635902.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom