Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Mpenzi ulikuwa wap me ninaumwa wewe nilikosa daktali wakunitibu kaugonjwa kangu ukuje me ugonjwa utanimaliza afu utanikosawee cuzoo upoo.
Umeka kwa ubongo yangu nilikum miss sana mpaka ubongo ulikuwa unaelekea ku expire datewee cuzoo upoo.
Ndoa tramuuMsanii maarufu hapa Tanzania VANILLAH ambaye ni msanii wake na alikiba kutoka KING MUSIC amewaacha hoi wasanii wake pamoja na mashabiki zake uko kwenye mitandao yake ya kijamii hasa instagram #VanillahMusic baada ya kupost picha ambayo inaonesha akiwa amevaa nguo za mwanamke za kwenye harusi (Shela)
View attachment 2802453
Sent using Jamii Forums mobile app



Mpenzi ulikuwa wap me ninaumwa wewe nilikosa daktali wakunitibu kaugonjwa kangu ukuje me ugonjwa utanimaliza afu utanikosa



ushapona sasaHebu sema kwelii cazee,Umeka kwa ubongo yangu nilikum miss sana mpaka ubongo ulikuwa unaelekea ku expire date



Nimesemaa tyuuh!!



We ndo daktar bingwa wa magonjwa yangu suguHebu sema kwelii cazee,![]()
Siafu huwa hawana adabu kabisa 😁