Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,948
- 136,701
Sijambo,mzima wewe??
Sijambo,mzima wewe??
Mzima kabisa unasura nzuri lkn hiyo avatar si ww? 😀Sijambo,mzima wewe??
Kuna mvutano mkubwa sana kwa kichwa😁😁😁Kuna msemo mmoja wa Kisukuma unasema hivi:
Gūchangīja īdīgūlumanga
Tafsiri yake ya haraka haraka ni kwamba "kukombelezea na mboga ni bora kuliko kula ugali kavu kavu"
Natumaini umenielewa mai dia dota 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Flat screen mnatuandama mno hasa kanda pendwa🤣🤣
Mbona sina avatar,Mzima kabisa unasura nzuri lkn hiyo avatar si ww?![]()
Hii sio avatar yako?
Wanaume tunasababishiwa mengi.
Mjukuu kasema kwamba kizazi cha sasa kiko vizuri sana. Kilichobakia ni matani tu kama ilivyo kawaida yetu Watanzania. Mvumilie kama sisi Wasukuma tunavyovumilia japo wakati mwingine inauma! 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Flat screen mnatuandama mno hasa kanda pendwa🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Mjukuu kasema kwamba kizazi cha sasa kiko vizuri sana. Kilichobakia ni matani tu kama ilivyo kawaida yetu Watanzania. Mvumilie kama sisi Wasukuma tunavyovumilia japo wakati mwingine inauma! 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
View attachment 2796556