"Kaka Malisa mimi ni askari wa cheo cha chini. Nimetoa 10,000/= kumlipia Afande IGP na Makamishna wote wa polisi makao makuu, kuwakumbusha kwamba sisi askari wadogo hatuna uniform. Afande IGP alimwambia Rais kuwa polisi tunazalisha uniform 100,000 kwa mwaka. Sisi askari wadogo tupo 30,000 kwahiyo tungeweza kupewa hata uniform 3 mpya kila mwaka, lakini tulizonazo zimejaa viraka. Kwa sadaka hii naomba atukumbuke"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.