Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Tuchukue tahadhari

Screenshot_20231029_111033_Telegram.jpg
 
Nabadili kauli. Siyo ufala. Tunakuwa na mategemeo kwamba siku moja huyo bestie atajichanganya na tutamla tu. Ni sawa na ile ya kuwekwa friend zone. Mategemeo ni kwamba siku moja utatolewa huko...na mara nyingi huwa inakuwa hivyo!

The key is patience! 😁😁😁🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️

Screenshot_20231029_084835_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom