Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wanaingia Gaza...

Wataziweza purukushani za mtaa kwa mtaa?

Wamarekani mbona ziliwashinda Iraq, Afghanistan na Somalia?

Screenshot_20231029_110545_Telegram.jpg
 
Nabadili kauli. Siyo ufala. Tunakuwa na mategemeo kwamba siku moja huyo bestie atajichanganya na tutamla tu. Ni sawa na ile ya kuwekwa friend zone. Mategemeo ni kwamba siku moja utatolewa huko...na mara nyingi huwa inakuwa hivyo!

The key is patience! 😁😁😁🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️

Screenshot_20231029_084835_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom