mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,927
Fanya hivyo mkuu, usisahau kutu tagNimegundua moja hiyo unafanya mara moja tu mpaka unakufa. Hata uwe 90 unapiga mzigo kama kawaida. Nimeambiwa ndiyo siri iliyowafanya mababu zetu wakaendelea kupelekea moto mpaka walipofikisha miaka hata late 80s huko. Nataka kutesti zali soon. Nitaleta mrejesho![]()
AbeeMjukuu!

Mshanaa junior
Kwa hiyo kiufupi tusiwape wanawake hela maana hizo ndio nguvu zetu
Nani ajitolee kueleza hivyo viambata na uwiano wake! Au basi mleta post tusaidie!Hivi ni kweli hii inafanya kazi kwa ufanisi?View attachment 2788282