Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Painful but true!
NAKAZIAHakuna mwanamke wa peke yako hapa duniani!
#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
#UkichapiwaKausha
bongo bana,
Najua mkuu...bongo bana,
ukristo dini ya kirumi,
waisraeli wengi ni waislamu na wayahudi
fatilia
afu hichi kitu hata hakihubiriwi kwenye makanisa rasmi,Najua mkuu...
Na wala hawamtambui Yesu....
Wakristo Israeli ni 1.9% tu na mwaka huu wahafidhina walipendekeza kupiga marufuku kutajwa kwa jina la Yesu kama Masihi.afu hichi kitu hata hakihubiriwi kwenye makanisa rasmi,
ni hawa prosperity preachers kina mwakasege😂
kama anatenda miujiza basi ni prosperity precher😂Na Mwakasege siyo prosperity preacher.
Siyo fan boy. Niko objective sana katika hili!kama anatenda miujiza basi ni prosperity precher😂
najua wewe ni fanboy ila ukubali tu😂
afu yeye ndo wakwanza tz nadhani, sema he has that charisma au sio😂
kutenda miujiza kunahitaji udanganyifu fulani.... ukifanya udanganyifu ina maana wewe ni tapeli kwasababu unajua unafanya kitu kibaya ila unaendeleaSiyo fan boy. Niko objective sana katika hili!
Mwakasege anaijua Biblia na anajua kuifundisha na kuifafanua. Ni wito wake huo. Na semina zake hizi anazozunguka nchi nzima zina lengo hilo. Ndiyo maana mara nyingi anakuwa na wito sana wa watu kuokoka na kumpokea Yesu. Na kwa hapa Tanzania kwa sasa sidhani kama kuna mwalimu wa Biblia aliyeiva kumzidi. Wengi wengine huku wamegeuka na kuwa social commentators/motivational speakes (mf. Mugogo, Hananja, Kapola....) au wanamazingaombwe kwa lengo la kupumbaza watu ili kuwaibia. Huko huwezi kusikia habari za wokovu na kumpokea Yesu Kristo kwa kuacha dhambi bali siri ya mafanikio ni kupanda mbegu kwa kutoa sadaka na zaka ili Mungu Afungue milango haijalishi unaishi maisha machafu kiasi gani.
Najua wewe ni Atheist na ni rahisi kwako kuponda kila kitu. Yes Ukristo umevurugwa sana na hii prosperity gospel na hawa wanamazingaombwe lakini bado kuna watumishi wanaohubiri na kufundisha injili katika misingi ya Biblia japo ni wachache.
View attachment 2781916
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿kutenda miujiza kunahitaji udanganyifu fulani.... ukifanya udanganyifu ina maana wewe ni tapeli kwasababu unajua unafanya kitu kibaya ila unaendelea
sasa kama amewahi kufanya miujiza, haswa ile ya kuponya vilema basi ni conman
ndo reasoning yangu hiyo