Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,840
- 57,484
Sahihi MkuuHuyu atakuwa kasoma sheria sema sasa akaja kushindwa kwenye BAR exam kama vijana wetu wengi wanavyogaragazwa na mtihani wa TLS. Naona aliachana na hekaheka za kufaulu mtihani huo ili apate kibali cha kuwa mwanasheria akaona isiwe kesi. Kama amejifunza mwenyewe sheria basi atakuwa amefanya hivyo kwa muda mrefu sana na ana bashasha na uwezo mkubwa wa kuongea, mantiki na kanuni za kimahakama.
Na naamini hiyo rekodi yake itakuwa imejazwa mubaalagha!
Ila jamaa angefauru hiyo mithani yao angekuwa Wakali maarufu sana kwao
