moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,142
- 770,237
Ndiyo maana benki kuna TV ambazo hazina sauti, wanaogopa pesa za watu zitoroke

Ndiyo maana benki kuna TV ambazo hazina sauti, wanaogopa pesa za watu zitoroke

JF ina status? Wapi hii au mi mshamba?
😂😂😂😂😂😂zitaishia kunizungusha badala ya mimi kuizungusha.
Mungu hakupi vyote mkuu. Hata hao wenye sura na misambwanda unakuta kichwani empty setTako kama lote halafu sura ya baba. Kuna baharia alisema pisi za Mbeya zingekuwa na sura za pisi za Kaskazini Mbeya kusingekalika. Na pisi za Kaskazini zingekuwa na misambwanda ya pisi za Mbeya, Kaskazini nako kusingekalika![]()

Hii sio fala investment Iringa

🤣🤣Tomorrow is Money Day. God bless my TomorrowView attachment 2768100
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisaMungu hakupi vyote mkuu. Hata hao wenye sura na misambwanda unakuta kichwani empty set![]()
Aisee......