Huyu ndiyo likuwa mtu wa kupiga pesa kuliko Mondi tatizo ni mbinafsi.
Fella aliwaweka pamoja ili asimamie kazi zao, yeye ndiyo wa kwanza kuchomoka na kashfa juu eti anawaibia.
Leo mwenzao ametoka kwa kufuata nidhamu pesa na kuwasikiliza watalaam wa kila nyanja wanaumonea wivu!!!
Aendelee kunywa mataputapu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.