Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Litafunguliwa rasmi mwakani pale mto lumbe (flyover)
FB_IMG_1696238362859.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Usione nimekonda ewe Tuma hakuna lingine mama ila ni wewe Tuma.
Usiku wote nalala nilikuwaza nakwita jina lako...ooooh Tuma".

Maalim Gurumo, Suleimani Mbwembwe, Tx Moshi William.
Msondo Ngoma.
Magoma Kitakita
IMG_1696238901166.jpg
 
Golden chance never come twice View attachment 2769278

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndiyo likuwa mtu wa kupiga pesa kuliko Mondi tatizo ni mbinafsi.
Fella aliwaweka pamoja ili asimamie kazi zao, yeye ndiyo wa kwanza kuchomoka na kashfa juu eti anawaibia.
Leo mwenzao ametoka kwa kufuata nidhamu pesa na kuwasikiliza watalaam wa kila nyanja wanaumonea wivu!!!
Aendelee kunywa mataputapu
 
Back
Top Bottom