moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,142
- 770,237
Watu wanamchezea Cobra, wana hatari.
Nadhani itakuwa India hiyo
Watu wanamchezea Cobra, wana hatari.
Klabu ya Simba iko kama serikali ya Tanzania.
Hii hesabu aliyeipiga atakuwa motivation speaker siyo kwa kuipaisha hivyo
YiyiyiyihhhhhBaadhi ya wanawake na wakina dada nchini kenya wameandamana kwa mabango wakitafuta wanaume wa kuwaoa
#DuniaYetu....View attachment 2769333
Sent using Jamii Forums mobile app




Migogoro tuJamani mbona tumejaa huku Tanzania.
Wanatakiwa wavumilie ndoa zetu za kiislam.
Mume mmoja wake wa 4.
Tupo sana tu.
Waambie waje huku



Migogoro gani tena?Migogoro tu![]()