AbeeMjukuu!

Halafu ukianza kuwashwa na mechi haikuchezwa basi unabakia kujikuna huku ukitukana tu![]()






Maandishi hayasomeki!
Inabidi muwanunulie magari

Hsfu kweliUsually vimbaumbau ndiyo huwa vina hicho kimbelembele cha kutoa majibu ya hovyo. Hiyo SDY hapo pembeni imetulia tu inausikilizia mchezo. Vimbaumbau sijui tu vikoje![]()

Nilikuambia njoo uchukue unichajieUpo njoo uchaji
, jua kali sana kizunguzungu.Unazingua.Hata mimi niko hivyo![]()
Awanunulie Aliyewapa hiyo mizigo ohoo 😁😁😁Inabidi muwanunulie magari![]()
Mununue nyie mnaopenda hayo mazigoAwanunulie Aliyewapa hiyo mizigo ohoo![]()



